Hoja hiyo ina mantiki na ukweli kwa vile hata ukimlaumu marehemu haisaidii kwa vile amekufa na hazisikii lawama hizo.Lawama ziende kwa aliye hai ili aweze kujirekebisha.Hoja iko Mezani wana jamvi,
Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya watu wakisema hakuna haja ya kuwalaumu na
kuwashutumu watu waliokufa mathalan hata kwa mambo yanayoathiri wale
walio hai walioachwa.
Nataka kujua kimantiki, hoja hii ina ukweli wowote?
CONFIG]55173[/ATTACH]