Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Wapendwa Mods na wana JF, mie ninapendekeza hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Mtu mmoja anayeandika thread za matusi na kuposti hapa JF tangia jana.
Kama inawezekana kuwepo na ombi maalum la mtu kujirejista, maana huu uhuru wa kujirejista ndio unaofanya baadhi ya wenzetu wasio na maadili kuandika matusi hapa.
Nawasilisha
Mchungaji Ladslaus
Kama inawezekana kuwepo na ombi maalum la mtu kujirejista, maana huu uhuru wa kujirejista ndio unaofanya baadhi ya wenzetu wasio na maadili kuandika matusi hapa.
Nawasilisha
Mchungaji Ladslaus