Hatua kwa hatua-mmomonyoko

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,883
2,763
20122011234.jpg
Hii picha imeshawekwa humu kabla. Hapa ni Ubungo jirani na river side. Magari yalikuwa yanapita hapa

20122011232.jpg
Hapa ni upande wa pili. Palimomonyoka hadi kufikia hivi kipindi kile cha mafuriko

04012012469-001.jpg
Hapo ukilinganisha na picha ya kwanza unaweza kuona jinsi wadau walivyoweza kubomoa ukuta na kufanya njia

04012012470-001.jpg
Majengo yanazidi kuporomoshwa kupisha mmomonyoko. haijulikani ni hatua zipi zinachukuliwa kuikabili hii hali
 
jamani watu bado wanaishi kwenye hizo nyumba au?
Picha ya pili unaona geti hapo. bado kuna watu wanaishi. picha ya 3 unaona ukuta umemegwa na kujengwa na kuacha geti ambapo watu wanapita
 
Hapa ilikuwa ni barabara nzuri iliyopanuliwa na kampuni ya KAJIMA wakati wanajenga sehemu ya Jangwani ndiko walikuwa wanapitia kuchukua kifusi. Kwa wakati huo walimjengea nyumba mama mmoja aliyewapa eneo la kuchimba kifusi miaka ya 80.
 
Hapa ilikuwa ni barabara nzuri iliyopanuliwa na kampuni ya KAJIMA wakati wanajenga sehemu ya Jangwani ndiko walikuwa wanapitia kuchukua kifusi. Kwa wakati huo walimjengea nyumba mama mmoja aliyewapa eneo la kuchimba kifusi miaka ya 80.

kumbe unalinyaka vizuri hili eneo?
 
Back
Top Bottom