suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,205
nakuunga mkono hiyo avatar hatari! mleta mada aibadili haifanani na jukwaa hiliUsomaji wangu wa hii thread umeathiriwa na avatar ya mleta mada. CCM ina vituo kama vya salimia waziri kupata nyumba mpaka.....
Sasa huo new africa hivyo vyumba ni dnio ukubwa wake unaligana na hadhi ya waziri kiongozi mstaafu.
hahhahaha Tanzania Ni comedy tosha . Na huko zanzibr uute bado ana nyumba ya serikali huku bara pia . haya .......
Inabidi tujue standards za nyumba za
- Rais mstaafu
- Wziri mkuu mstaafu
- Jaji mkuu