Hatimaye ndege ya Airbus, Mali ya Tanzania yapaa. Kufika nchini muda wowote.

M
Hivi ndugu zangu kama hujui kitu au huna habari za kutosha kwanini usikae kimya. Ndege za A220-300 ni mradi wa washiriki watatu, Airbus, Bombardier, na serikali ya Quebec. Wakati Tanzania wanaingia mkataba wa ununuzi, washiriki walikuwa wawili tu Bombardier, na serikali ya Quebec hadi Airbus waliponunua zaidi ya nusu ya hisa zote na kubadili jina la mradi kutoka CS na kuwa A220. Kiwanda kilo Mirabel, Montreal, Canada.

My understanding wakati tunatoa order hatukutoa order ya A220, tulitoa order ya C300 kama sikosei, so hata kama Airbus wamekuwa involved lakini kumbuka ni kuanzia July 1, 2018. Ebu jiulize, tulitoa order mwaka gani? Ni mwaka huu??
 
Hivi ndugu zangu kama hujui kitu au huna habari za kutosha kwanini usikae kimya. Ndege za A220-300 ni mradi wa washiriki watatu, Airbus, Bombardier, na serikali ya Quebec. Wakati Tanzania wanaingia mkataba wa ununuzi, washiriki walikuwa wawili tu Bombardier, na serikali ya Quebec hadi Airbus waliponunua zaidi ya nusu ya hisa zote na kubadili jina la mradi kutoka CS na kuwa A220. Kiwanda kilo Mirabel, Montreal, Canada.

Na kumbuka kuwa Airbus kazi yao kuwa ni marketing, lakini design and built ni Bombardier Aerospace Industry. So sisi kutokana na order yetu ambayo tuliplace before Airbus, tunapaswa kupata CS na sio A220-300
 
Na kumbuka kuwa Airbus kazi yao kuwa ni marketing, lakini design and built ni Bombardier Aerospace Industry. So sisi kutokana na order yetu ambayo tuliplace before Airbus, tunapaswa kupata CS na sio A220-300

Unless kama kulikuwa na kuchange gear angani, ila we need our C300, they are super planes and very ecomomical
 
nadhani mkulu hilo ameliona....ila pia itategemeana na jinsi biashara inavyokwenda.....kwangu mimi nilikuwa naona kwa baadae ingekuwa vema kama wangeongeza hizi Bombadier dash 400 kama 7 hivi na hizi saizi ya kati kama 3 hivi....ili kuweza kulishika soko la Sub Saharan Africa.....Mfano kuna mtu akitaka kwenda Maputo lazima kwanza aende South Africa au Nairobi...ila kwa kuongeza hizi A220 kama 3 au tano na Bombadier kunaweza kuwa na route ya DSM -----Beira -----Maputo
Ni kweli, Ingefaa sana hizi za kati na zile za ndani zikawa nyingi kwa kuwa viwanja vyote vilivyokarabatiwa vitahudumia na ndege hizi hizi na hasa Q400. Kimataifa, ukiisha anza kujitangaza kuwa mchezaji basi wateja wanakimbilia kuangalia ni mashine gani unatumia. Hii hufanikishwa na makampuni yaliyounda chombo. Mfano Airbus hivi sasa wako kwenye matangazo ya nguvu kuinadi A220-300 na kwa sasa Air Tanzania na ANA ya Japan ndio ziko kwenye chati.

Mwelekeo wa biashara ya usafiri wa anga kimataifa, unatia matumaini; kinachotakiwa ni kuwa makini na taratibu zote za kisheria zinazo simamia mchezo huu, ikibidi ATCL itangaze nafasi za kazi kimataifa, ili itoe huduma kwa kiwango cha kimataifa.
 
Na kumbuka kuwa Airbus kazi yao kuwa ni marketing, lakini design and built ni Bombardier Aerospace Industry. So sisi kutokana na order yetu ambayo tuliplace before Airbus, tunapaswa kupata CS na sio A220-300
Bombadier waliuza hisa karibia 51 % . Hiyo inawapa airbus power ya kuchange brand ya CS300
 
Unless kama kulikuwa na kuchange gear angani, ila we need our C300, they are super planes and very ecomomical
Hakija badilika kitu chochote zaid ya jina tu. Airbus hawajabadilisha technical components za ndege.. wala design. Technicaly ndege bado ni CS300, lakin kilicho change ni jina tu.
 
Mkuu ni CS300 from design to documentation ila jina ndio wamebadili to fit in airbus family. Airbus hawana A220-300. Hata cs100 inaitwa A220-100

Unless kama kulikuwa na kuchange gear angani, ila we need our C300, they are super planes and very ecomomical
 
[QUOTE="Mgambilwa ni mntu, post: 29590833, member: 43]Kwa mwendo huu, anga la Tanzania litafurika midege yetu sisi Watanzania. Utajiri wetu wa maliasili sasa utafunguka sana maana viwanja vingi vitafikiwa na ndege hizo na hivyo kukuza sekta ya huduma hasa utalii na mahoteli.

Ni asilimia ngapi ya wa TZ inaweza kumudu gharama za nauli?[/QUOTE]

Hata mabasi si wote wanapanda. Ndege zitasukuma uchumi.
 
Sipingi kuwa na ndege zetu, lkn tujiulize hivi tunajaza mindege ya nini, tukiwa nazo 20 halafu zinashinda JNIA zimepaki faida yake ni nini kuziangalia, logic iko wapi.
Ethiopia na Kenya wamejaza mindege ya nn?Hivi wananchi wao wanamudu nauli za ndege?Hivi wananchi wao wanapata Huduma za kijamii kwa kiwango cha kuridhisha?

Vijans mnatumika kama toilet paper na vibaraka wasioitakia memo nchi hii

Kuweni wazalendo na nchii hii .Serikali imefanya makubwa tuunge mkono mabadiliko yanayofanywa na awamu ya tano
 
Kwahio hii ndege haijafika tu mpaka leo? Au nayo inatumia engine ya bombadier maana leo ni siku ya 4 ipo hewani tu Canada - Tanzania sio mbali kivile yani...
 
Kwahio hii ndege haijafika tu mpaka leo? Au nayo inatumia engine ya bombadier maana leo ni siku ya 4 ipo hewani tu Canada - Tanzania sio mbali kivile yani...
Inatumia engine za Pratt & Whitney na lazima zifanyike flight tests hadi hapo Government Flight Agency/ATCL is satisfied ndo ije.
 
Hio ndege ipaa kwenda wapi kila mahali tumeharibu India tumewaweka wahindi ndani.Nje wameshika mpini wanawezatunyima vibali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom