Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Baada ya Mzee Jaffer Sabodo kusoma habari iliyochapishwa katika Daily News la jana Tar.29.03.2010 mwandishi akiwa Finnigan wa Simbeye alikuwa na haya ya kusema...
"Mheshimiwa Rais,kwa ziara hii nitakuenzi daima kwa vile umekuwa Rais wa kwanza kutembelea KITUNDA huko TABORA" Jaffer Sabodo...
Mzee Jaffer Sabodo anaendelea...
Natumaini katika miaka mitano ijayo utakuwa umeisafisha nchi na kuwa bila rushwa,na wale wachafu-wala rushwa -utakuwa umewachukulia hatua kali za sheria.
Naamini Azimio la Arusha la Mwl.Nyerere bado halijafa,lakini libadilishwe ili liendane na wakati tulionao. Ningependa Watanzania wakukumbuke kama wanavyokumbukwa George Washington na Abraham Licoln wa USA,na Mahatma Gandhi na Jawaharlal Nerhu wa India.
Hakuna kitakachodumu milele isipokuwa jina zuri.NB.
1. Usiogope upinzani lakini ogopa watu fulani ndani ya chama tawala CCM. Na wale MAFISADI wawe waangalifu hasa kwa vile ulivyotia saini sheria mpya ya kudhibiti pesa chafu za uchaguzi.
2. Tafadhali soma kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa Julius Ceaser alichokitafsiri kwa kiswahili kutoka kitabu cha kilichoandikwa na William Shakespeare.
Hongera Mhe.Jakaya Kikwete
MR.J.Sabodo
Retired Hedge Funds,Commercial Debts and Equity Funds Specialist
P.O. Box 730
DAR ES SALAAM
Hii ni kutokana na TANGAZO lililochapishwa leo 30.03.2010 katika gazeti la Mwananchi ukurasa wa 5. ambayo yeye Sabodo ameitafsiri kutoka katika Daily News la jana Tar.29.03.2010 mwandishi akiwa Finnigan wa Simbeye
LONG LIVE SABODO kushuhudia UNAYOHUSIA
"Mheshimiwa Rais,kwa ziara hii nitakuenzi daima kwa vile umekuwa Rais wa kwanza kutembelea KITUNDA huko TABORA" Jaffer Sabodo...
Mzee Jaffer Sabodo anaendelea...
Natumaini katika miaka mitano ijayo utakuwa umeisafisha nchi na kuwa bila rushwa,na wale wachafu-wala rushwa -utakuwa umewachukulia hatua kali za sheria.
Naamini Azimio la Arusha la Mwl.Nyerere bado halijafa,lakini libadilishwe ili liendane na wakati tulionao. Ningependa Watanzania wakukumbuke kama wanavyokumbukwa George Washington na Abraham Licoln wa USA,na Mahatma Gandhi na Jawaharlal Nerhu wa India.
Hakuna kitakachodumu milele isipokuwa jina zuri.NB.
1. Usiogope upinzani lakini ogopa watu fulani ndani ya chama tawala CCM. Na wale MAFISADI wawe waangalifu hasa kwa vile ulivyotia saini sheria mpya ya kudhibiti pesa chafu za uchaguzi.
2. Tafadhali soma kitabu cha Mwl.Nyerere kinachoitwa Julius Ceaser alichokitafsiri kwa kiswahili kutoka kitabu cha kilichoandikwa na William Shakespeare.
Hongera Mhe.Jakaya Kikwete
MR.J.Sabodo
Retired Hedge Funds,Commercial Debts and Equity Funds Specialist
P.O. Box 730
DAR ES SALAAM
Hii ni kutokana na TANGAZO lililochapishwa leo 30.03.2010 katika gazeti la Mwananchi ukurasa wa 5. ambayo yeye Sabodo ameitafsiri kutoka katika Daily News la jana Tar.29.03.2010 mwandishi akiwa Finnigan wa Simbeye
LONG LIVE SABODO kushuhudia UNAYOHUSIA