Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,277
- 31,409
kwani issue ni umiss wake au maskandali yake..??Ningekuwa mkuu wa kituo angeipata na umiss wake.
kwani issue ni umiss wake au maskandali yake..??Ningekuwa mkuu wa kituo angeipata na umiss wake.
kuna nini kongwa, keko watu nagombania kama mali yao, segerea pia yote iko darswali la kizushi:...Hivi tanzania wanatenganisha wafngwa wa kike na wa kiume au wote wanafungwa pamoja?....if so gereza la wafungwa wa kike liko wapi?najua tuna gereza moja tuu kule ukonga unless kuna mengine yamefungulia miaka ya nyuma.....
mmmh scandal ndo zimeanza
sijui tuyategemee ya Ms Sepetu tena
these kids bana aaaaagrrrrrrrrrrrrrrrr
swali la kizushi:...Hivi tanzania wanatenganisha wafngwa wa kike na wa kiume au wote wanafungwa pamoja?....if so gereza la wafungwa wa kike liko wapi?najua tuna gereza moja tuu kule ukonga unless kuna mengine yamefungulia miaka ya nyuma.....
Mi nashauri kijana yeyote anayetaka kuwa msanii ktk inji hii kwanza awekwe ndani 6mnths in advance halafu akianza fani labda atakuwa na adabu
.....Huyu Miriam wa ajabu sana, mwanaume mwenyewe aliyetoka naye ni choka mbaya hawezi hata kutoa pesa ya dhamana ili watoke.
Hakutakiwa hata kukaa jail huyu, angekuwa mwanaume wa maana wangemaliza mambo yote siku ile ile wala wasingeenda segerea.
Hivyo huyo aliyefumaniwa na kiserengeti boy ni nani?hata yule wa Wema nae si alikuwa wa hivyo hivyo tu!!!!
na huyu anye ni majuzi tu nilisoma eti lipredesheee lilimfumania na kiserengeti boy, basi likamtimua kwenye nyumba alokuwa amempangishia
maskini sijui ile laana y ayule mama wa mwanza ndo imeanza kutenda kazi!!
Hivyo huyo aliyefumaniwa na kiserengeti boy ni nani?
.........Mhhhhh!! Kumbe ndio huyo kazi kweli kweli.nmtangulizi wa Miriam nadhani (haya mambo huwa siweki record sawsawa kumkichwa sasa ndo tatizo)
.........Mhhhhh!! Kumbe ndio huyo kazi kweli kweli.
.........Yule muhindi wala hakuwa na vitabia vya ajabu jabu.Mambo yalianzia kwa yule miss mcheza Film siku hizi kawa kama mzungu.hawa warembo bwana......
ila sio yule muhindi ni mswahili (sijui nani alikuja kabla ya miriam ila hapa simaanishi yule mhindi)
huyu ni mtoto tu sema ndo hivi wa siku hizi wajuaji kweli....(at that age sikuwa hata na bf jamani loh...sijui ndo ushamba).........Yule muhindi wala hakuwa na vitabia vya ajabu jabu.Mambo yalianzia kwa yule miss mcheza Film siku hizi kawa kama mzungu.
Huyo Lundenga na kamati yake inabidi wawe waangaalifu, wasichague miss ilimradi miss........kuna wengine bado wana akili za kitoto.Kama huyu Miriam alikuwa ndio kwanza kamaliza Form 6 huyu si mtoto tu.