Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
Baada ya kushindwa ku-launch network kwa zaidi ya mwaka mmoja na waajiriwa wake wengi kutimka baada ya kuona hali ya kutoeleweka..leo hii mwenyekiti wa bodi ya Hits Tanzania Mh. Abdulah Mwinyi ametangaza kusitisha ajira za wafanyakazi hao kwa kutoa notisi ya siku 10 na malipo ya mwezi mmoja pamoja na kuahidi kulipa madai yote ya wafanyakazi hao ifikapo mwezi wa Disemba.
Kumekuwa na mkanganyiko kwa wafanyakazi maana pamoja na kusitishiwa ajira zao pia wameambiwa wanaweza kutuma maombi upya lakini kampuni itachukua si chini ya miezi 6 kusimama tena.....
Bado wafanyakazi hao wamechanganyikiwa maana it was a short notice na imepatika leo hii mchana....
POLENI NDUGU ZETU....KATIKA MAISHA YA BIASHARA KUFULIA IMO ....JIPANGENI UPYA
naamini hii ni kweli maana HITS Uganda ilikuwa taken over by france telecom tangu 2008.
soma hapa: http://www.telegeography.com/cu/article.php?article_id=25655