Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,212
Hasira za nini sasa?We fala nini hujui maana ya BREAKING NEWS?
Hasira za nini sasa?We fala nini hujui maana ya BREAKING NEWS?
Wacha ukorofi wako best
BTW hebu nieleweshe mwenzio maana niko outdated,inamaana huyo ndo kashakua mbunge mteule anasubiri tu kuapishwa ama tusubiri kampeni as usual?
Tatizo huu uzee unanijia kwa speed ya mwanga wa radi nakua mzito kuelewa lol
Mimi jinsi Nasari alivyonichefua sijaumia..ngoja akalee mke vzr
HAIWEZI KUTOKEA NA HAITOTOKEA
Ni sawa sawa na kunsifu baba yako ni bigwa wa mashindano ya kunywa pombe. Hizi ni zile sifa ambazo zinarudisha nchi yako nyuma lakini hujui kwasababu ya kulewa siasa.John Pallagyo aliyekuwa anagombania Ubunge katika Jimbo hilo kupitia CCM amepita bila kupingwa baada ya Wagombea wenzake 10 kukosa sifa, Msimamizi wa Uchaguzi, Emmanuel Mkongo ametangaza
Jimbo la Arumeru Mashariki lilitangazwa kuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADAMA, Joshua Nassari kuvuliwa Ubunge kwa kutokuhudhuria Mikutano mitatu ya Bunge
Nassari baada ya kuvuliwa Ubunge alifanya taratibu za kwenda Mahakamani na kufungua shauri la kuomba kufungua kesi ya msingi ya kumtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutengua uamuzi wake lakini jitihada zake ziligonga mwamba
======
Arumeru. Mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pallagyo amepita bila kupigwa katika nafasi hiyo baada ya wagombea wenzake 10 kushindwa kukidhi vigezo.
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo hilo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru, Emmanuel Mkongo amesema hayo Leo Ijumaa Aprili 19, 2019 wakati akitangaza matokeo baada ya upitiaji wa fomu zilizowasilishwa .
Mkongo amesema jumla ya wagombea 11 walichukua fomu na kati yao, watatu hawakurudisha na saba fomu zao zimebainika kutokidhi vigezo.
Amesema wapo ambao hawajalipa fedha ya dhamana ya kugombea ubunge ya Sh50,000, kukosa wadhamini na kurejesha fomu ya kiapo kutoka kwa mwanasheria na hakimu.
Akizungumza baada ya mkurugenzi kumtangaza kuwa kapita bila kupingwa, pallagyo, amekishukuru chama chake kwa kumuamini na amesema atahakikisha anafuata nyayo za Rais John Magufuli katika utendaji kazi.
“Pia nitamkumbusha Rais ahadi yake aliyoitoa ya ujenzi wa barabara ya kilometa tano za lami jimboni humo na nitahakikisha jimbo hilo linakuwa la mfano ndani ya muda mfupi,” amesema.
Naye Mmoja wa wagombea kutoka chama cha Demokrasia Makini, Saimon Ngilisho ameunga mkono uamuzi huo huku akikiri kukosa wadhamini kutokana na wananchi kukatishwa tamaa na wapinzani kujiuzulu kabla ya muda wao kufika, hivyo kusababisha kukosa sifa za kugombea.
POLITICAL HYPOCRISYJohn Pallagyo aliyekuwa anagombania Ubunge katika Jimbo hilo kupitia CCM amepita bila kupingwa baada ya Wagombea wenzake 10 kukosa sifa, Msimamizi wa Uchaguzi, Emmanuel Mkongo ametangaza
Jimbo la Arumeru Mashariki lilitangazwa kuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADAMA, Joshua Nassari kuvuliwa Ubunge kwa kutokuhudhuria Mikutano mitatu ya Bunge
Nassari baada ya kuvuliwa Ubunge alifanya taratibu za kwenda Mahakamani na kufungua shauri la kuomba kufungua kesi ya msingi ya kumtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutengua uamuzi wake lakini jitihada zake ziligonga mwamba
======
Arumeru. Mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pallagyo amepita bila kupigwa katika nafasi hiyo baada ya wagombea wenzake 10 kushindwa kukidhi vigezo.
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo hilo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru, Emmanuel Mkongo amesema hayo Leo Ijumaa Aprili 19, 2019 wakati akitangaza matokeo baada ya upitiaji wa fomu zilizowasilishwa .
Mkongo amesema jumla ya wagombea 11 walichukua fomu na kati yao, watatu hawakurudisha na saba fomu zao zimebainika kutokidhi vigezo.
Amesema wapo ambao hawajalipa fedha ya dhamana ya kugombea ubunge ya Sh50,000, kukosa wadhamini na kurejesha fomu ya kiapo kutoka kwa mwanasheria na hakimu.
Akizungumza baada ya mkurugenzi kumtangaza kuwa kapita bila kupingwa, pallagyo, amekishukuru chama chake kwa kumuamini na amesema atahakikisha anafuata nyayo za Rais John Magufuli katika utendaji kazi.
“Pia nitamkumbusha Rais ahadi yake aliyoitoa ya ujenzi wa barabara ya kilometa tano za lami jimboni humo na nitahakikisha jimbo hilo linakuwa la mfano ndani ya muda mfupi,” amesema.
Naye Mmoja wa wagombea kutoka chama cha Demokrasia Makini, Saimon Ngilisho ameunga mkono uamuzi huo huku akikiri kukosa wadhamini kutokana na wananchi kukatishwa tamaa na wapinzani kujiuzulu kabla ya muda wao kufika, hivyo kusababisha kukosa sifa za kugombea.
John Pallagyo aliyekuwa anagombania Ubunge katika Jimbo hilo kupitia CCM amepita bila kupingwa baada ya Wagombea wenzake 10 kukosa sifa, Msimamizi wa Uchaguzi, Emmanuel Mkongo ametangaza
Jimbo la Arumeru Mashariki lilitangazwa kuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADAMA, Joshua Nassari kuvuliwa Ubunge kwa kutokuhudhuria Mikutano mitatu ya Bunge
Nassari baada ya kuvuliwa Ubunge alifanya taratibu za kwenda Mahakamani na kufungua shauri la kuomba kufungua kesi ya msingi ya kumtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutengua uamuzi wake lakini jitihada zake ziligonga mwamba
======
Arumeru. Mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pallagyo amepita bila kupigwa katika nafasi hiyo baada ya wagombea wenzake 10 kushindwa kukidhi vigezo.
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo hilo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru, Emmanuel Mkongo amesema hayo Leo Ijumaa Aprili 19, 2019 wakati akitangaza matokeo baada ya upitiaji wa fomu zilizowasilishwa .
Mkongo amesema jumla ya wagombea 11 walichukua fomu na kati yao, watatu hawakurudisha na saba fomu zao zimebainika kutokidhi vigezo.
Amesema wapo ambao hawajalipa fedha ya dhamana ya kugombea ubunge ya Sh50,000, kukosa wadhamini na kurejesha fomu ya kiapo kutoka kwa mwanasheria na hakimu.
Akizungumza baada ya mkurugenzi kumtangaza kuwa kapita bila kupingwa, pallagyo, amekishukuru chama chake kwa kumuamini na amesema atahakikisha anafuata nyayo za Rais John Magufuli katika utendaji kazi.
“Pia nitamkumbusha Rais ahadi yake aliyoitoa ya ujenzi wa barabara ya kilometa tano za lami jimboni humo na nitahakikisha jimbo hilo linakuwa la mfano ndani ya muda mfupi,” amesema.
Naye Mmoja wa wagombea kutoka chama cha Demokrasia Makini, Saimon Ngilisho ameunga mkono uamuzi huo huku akikiri kukosa wadhamini kutokana na wananchi kukatishwa tamaa na wapinzani kujiuzulu kabla ya muda wao kufika, hivyo kusababisha kukosa sifa za kugombea.
kwani wagombea wa upinzani wanasifa sasa?Haya ni maandalizi tu, 2020 utasikia Magufuli amepita bila kupingwa baada ya wagombea wote wa upinzani kukosa sifa.
Haya ni maandalizi tu, 2020 utasikia Magufuli amepita bila kupingwa baada ya wagombea wote wa upinzani kukosa sifa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa hakupigiwa kura na mwananchi hata moja, sasa atawashukuru vipi wananchi kama wote walimnyima kura? Anaingia bungeni kumwakilisha dikteta uchwara na vifaranga vyake huko Lumumba hivyo lazima shukhrani zielekezwe huko.Hahaha ....Hiyo ndio tofauti ya mgombea halali na wakuchaguliwa na Ccm, mgombea aliye pitishwa na wananchi huwa anawashukuru wananchi ila huyu anakishukuru chama na Magu......com hoyeee
John Pallagyo aliyekuwa anagombania Ubunge katika Jimbo hilo kupitia CCM amepita bila kupingwa baada ya Wagombea wenzake 10 kukosa sifa, Msimamizi wa Uchaguzi, Emmanuel Mkongo ametangaza
Jimbo la Arumeru Mashariki lilitangazwa kuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADAMA, Joshua Nassari kuvuliwa Ubunge kwa kutokuhudhuria Mikutano mitatu ya Bunge
Nassari baada ya kuvuliwa Ubunge alifanya taratibu za kwenda Mahakamani na kufungua shauri la kuomba kufungua kesi ya msingi ya kumtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutengua uamuzi wake lakini jitihada zake ziligonga mwamba
======
Arumeru. Mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pallagyo amepita bila kupigwa katika nafasi hiyo baada ya wagombea wenzake 10 kushindwa kukidhi vigezo.
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo hilo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru, Emmanuel Mkongo amesema hayo Leo Ijumaa Aprili 19, 2019 wakati akitangaza matokeo baada ya upitiaji wa fomu zilizowasilishwa .
Mkongo amesema jumla ya wagombea 11 walichukua fomu na kati yao, watatu hawakurudisha na saba fomu zao zimebainika kutokidhi vigezo.
Amesema wapo ambao hawajalipa fedha ya dhamana ya kugombea ubunge ya Sh50,000, kukosa wadhamini na kurejesha fomu ya kiapo kutoka kwa mwanasheria na hakimu.
Akizungumza baada ya mkurugenzi kumtangaza kuwa kapita bila kupingwa, pallagyo, amekishukuru chama chake kwa kumuamini na amesema atahakikisha anafuata nyayo za Rais John Magufuli katika utendaji kazi.
“Pia nitamkumbusha Rais ahadi yake aliyoitoa ya ujenzi wa barabara ya kilometa tano za lami jimboni humo na nitahakikisha jimbo hilo linakuwa la mfano ndani ya muda mfupi,” amesema.
Naye Mmoja wa wagombea kutoka chama cha Demokrasia Makini, Saimon Ngilisho ameunga mkono uamuzi huo huku akikiri kukosa wadhamini kutokana na wananchi kukatishwa tamaa na wapinzani kujiuzulu kabla ya muda wao kufika, hivyo kusababisha kukosa sifa za kugombea.
Mnakwepa kulaumu chanzo cha tatizo badala yake mnalaumu mgombea wa CCM. Lawama zote ni kwa Nasari. Kama kafika bei au kweli alikuwa na matatizo ya kifamilia bado lawama ni zake. Hata kama alikuwa na matatizo ya kifamilia lakini alijua utaratibu ukoje. Hata kama alikuwa na matatizo ya kifamilia huwezi kukosa mikutano mitatu ya bunge japo kuja kusaini na kusepa au kuandika barua kwa spika mapema pengine hata kabla ya vikao vya bunge kuanza. MCHUMA CHANGA HULA NA WA KWAO!