Unafiki na uzandiki wa kinda na wenzake unabaki dhahiri, walishabikia posho mpya na kuushuhudia umma kuwa rais kapitisha zilipane mpaka washibe, je sasa watawaambia nini waTZ?
Unafiki na uzandiki wa kinda na wenzake unabaki dhahiri, walishabikia posho mpya na kuushuhudia umma kuwa rais kapitisha zilipane mpaka washibe, je sasa watawaambia nini waTZ?
Kitu kikipigwa stop, wakati mwingine kinaashiria kwamba kilikwishaanza kuwepo. Hizi posho naona tayari watu wengine walikwisha kula. Nani anakagua matumizi ya fedha za Bunge?? Tuelezwe nani alikwisha kula, kwa idhini ya nani, na adhabu yake ni ipi????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.