yani wewe mkorofi hahahahaaaaaVipi alisema ikiwa kusifia nako iwe kwa siri?
yani wewe mkorofi hahahahaaaaaVipi alisema ikiwa kusifia nako iwe kwa siri?
Kuna kifungu cha katiba kinamzuia yy kuzuia jambo flani kwa utashi wake?Ndio, vyote visivyo na muwakilishi wa kuchaguliwa eneo husika. Tuume maneno tupendavyo ili kuhalalisha utashi wa rais lakini hii kusema eti ufanye siasa mahali ulipochaguliwa tu na siyo nchi nzima hiyo ni sheria ya mfukoni ya rais. Huu ni utashi wake na hakuna sheria ya hivyo.
Kama hufanyi siasa nchi nzima, unapataje wanachama wapya? Sera na ajenda zako zitafahamikaje kwa wananchi ili uwavutie. Katika vitu vinanifanya nisimuunge mkono Magufuli hata kwa hayo machache mazuri ni hii tabia yake ya kutuongoza kama watoto wa chekechea. Ni bora angeweka utaratibu wa kwamba mikutano ya siasa iwe mara moja au mbili kila mwezi. Sio yeye afanye siku yoyote atakayo ba popote yeye na chama chake kisha apangie wengine anavyotaka yeye.
Wanaosema katiba inavunjwa na kama madai yao ni ya mcng katiba imeweka wazi jinsi ya kutatua hilo ttz.Wanasheria hiki kipengele hawakioni?
Baada ya maaskofu kuliamsha dude kuanzia kipindi cha Salam za krismasi na salam za mwaka Mpya, hatimae katibu mwenezi CCM ndugu Humphrey polepole amejitokeza na kuwaomba maaskofu waishauri serikali sirini kwani kwa hali ilivyo sasa ni kama wanaidhalilisha, Rais yuko tayari kupokea ushauri na kuufanyia kazi.
My take
Kila shetani ana mbuyu wake ukimya wa maaskofu na mashehe umetuumiza sana kama taifa na sina shaka wameamuka usingizini baada ya Askofu niwemugizi kuelekezewa bomba la moshi, pia salam zangu za pole ziwafikie Clouds Media
You can love your country without having to love your government!
Kuna kifungu cha katiba kinamzuia yy kuzuia jambo flani kwa utashi wake?
Ndiyo mkuuYou can love your country without having to love your government!
Baada ya maaskofu kuliamsha dude kuanzia kipindi cha Salam za krismasi na salam za mwaka Mpya, hatimae katibu mwenezi CCM ndugu Humphrey polepole amejitokeza na kuwaomba maaskofu waishauri serikali sirini kwani kwa hali ilivyo sasa ni kama wanaidhalilisha, Rais yuko tayari kupokea ushauri na kuufanyia kazi.
My take
Kila shetani ana mbuyu wake ukimya wa maaskofu na mashehe umetuumiza sana kama taifa na sina shaka wameamuka usingizini baada ya Askofu niwemugizi kuelekezewa bomba la moshi, pia salam zangu za pole ziwafikie Clouds Media
Rais wetu makini. Nyaraka zinatolewa kwa manufaa ya nchi na wala hazijaanza leo. Tangu enzi ya mwalimuBado waraka wa Katoliki utatoka very soon. Lazima Magufuli anyooshwe kwanza hadharani ili ajijue kuwa yeye sii Mungu wa miungu!
Quote ya kufungulia mwakaYou can love your country without having to love your government!
Ndugu yangu, JIWE likitupwa GIZANI, linayempata ndiye anayetoa KILIO..na kuweweseka!Hivi hao maaskofu kuna popote wametaja ccm?