Hatima ya jimbo la Sumbawanga mjni Jumanne ijayo

Ptz

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
541
384
Shalloom, wanaJf!Ile kesi ya kutenguliwakwa ubunge wa bw Aeshi ‘CCM" wa Sumbawanga mjini, rufaa yake imepangwa kusikilizwa na mahakama ya rufaa Dar es Saam tar 12 Februari siku ya Jumanne.

Mkata rufaa ni bw Aeshi Hilary aliyevuliwa Ubunge na mahakama kuu tawi la Sumbawanga Mwezi April 2012 kwa kukutwa na makosa ya uvunjifu wa sheria ya uchaguzi ikiwepo ugubikwaji wa matendo rushwa, mjibu rufaa ni bw Nobert Yamsebo aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Sumbawanga mjini kwa tiketi ya CHADEMA.

Bw Nobert Yamsebo anatetewa na Mr Mkumbo wakili wamahakama kuu na pia kwa mjibu wa bw Nobert Yamsebo kaongezwa Mr Method Kimomogoro wakili mwanadamizi mahakama kuu, bwAeshi anatetewa na Nassoro Advocates na mwanasheria mkuuKwa heshima kuu nakuombeni wapendwa wanademokrasia nawapenda maendeleo wa jimbo la Sumbawanga mjini wote waliopo Dar es Salaam, Sumbawanga na kwingineko kokote kuhudhuria siku hiyo.

Nawasilisha.
 
Wao wanapesa sisi tuna mungu,eemwenyez wewe ndio ulie tuumba na ndio unae tufahamu kwa kila kitu,nakuomba huku nikitiririkwa na machozi ninakuomba usimruhusu yeyote ulie muumba aitie vidole kesi hii ninaomba atakae jaribu aumbuke mapema kabla haja jaribu amiii
 
Nje ya mada,

JF inafunguka kwa kasi kubwa kuliko wakati wowote! hii naona mimi tu?

Back to the topic!!!
 
Huyu Aeshi ubunge wake haukutenguliwa siku nyingi. Ilikuwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana, Kati ya October-dec. Kwa hiyo si kwamba hawakuwa na mbunge kwa kipindi kirefu.
Sikweli kamanda, ubunge wa bw Aeshi ulitenguliwa mwezi April siku chache baada ya kutengua ule wa Lema na si Oktober - Dec, na mwezi Oktoba mwaka jana ilitupilia mbali rufaa yake hii rufaa inayosikilizwa jumanne ni baada kutoa certificate of agency ,ambapo mahakama kuu Sumbawanga ilimkubalia bw Aeshi kuwasilisha vielelezo vyake.

kwangu mimi ni bora kuishi bila mbunge kuliko kuendelea kuwa na bw Aeshi, jamaa ni full kilaza kinachompatia nguvu ni pesa yake chafu ndo anayoitumia kufanya lobbing.
 
Ptz, Mnaishije huko kwetu bila mbunge hadi leo hii?
Tumeishi kwa amani with full shangwe, jamaa ni kilaza sana, namjua bw Aeshi tangu tukiwa sote Jangwani shule ya msingi, miaka ya 1983 hadi 1989 enzi la mwl mpasa (RIP) hadi tukiwa mazwi alipofukuzwa 1992, jamaa ni mzigo hata kwa ccm ni njaa za viongozi wa wilaya hadi mkoa wa ccm. kwangu mimi naomba Mungu atende kazi yake ili kusudi tumpate mbunge atakaye turejeshea heshima wanasumbawanga siye huyu jamaa.
 
Last edited by a moderator:
Sikweli kamanda, ubunge wa bw Aeshi ulitenguliwa mwezi April siku chache baada ya kutengua ule wa Lema na si Oktober - Dec, na mwezi Oktoba mwaka jana ilitupilia mbali rufaa yake hii rufaa inayosikilizwa jumanne ni baada kutoa certificate of agency ,ambapo mahakama kuu Sumbawanga ilimkubalia bw Aeshi kuwasilisha vielelezo vyake.

kwangu mimi ni bora kuishi bila mbunge kuliko kuendelea kuwa na bw Aeshi, jamaa ni full kilaza kinachompatia nguvu ni pesa yake chafu ndo anayoitumia kufanya lobbing.

Upo sahihi mkubwa.
 
Tumeishi kwa amani with full shangwe, jamaa ni kilaza sana, namjua bw Aeshi tangu tukiwa sote Jangwani shule ya msingi, miaka ya 1983 hadi 1989 enzi la mwl mpasa (RIP) hadi tukiwa mazwi alipofukuzwa 1992, jamaa ni mzigo hata kwa ccm ni njaa za viongozi wa wilaya hadi mkoa wa ccm. kwangu mimi naomba Mungu atende kazi yake ili kusudi tumpate mbunge atakaye turejeshea heshima wanasumbawanga siye huyu jamaa.

Mkuu kama ulisoma na Aeshi miaka hiyo ni dhahiri tulisoma wote pia shule ya msingi jangwani.
 
Sikweli kamanda, ubunge wa bw Aeshi ulitenguliwa mwezi April siku chache baada ya kutengua ule wa Lema na si Oktober - Dec, na mwezi Oktoba mwaka jana ilitupilia mbali rufaa yake hii rufaa inayosikilizwa jumanne ni baada kutoa certificate of agency ,ambapo mahakama kuu Sumbawanga ilimkubalia bw Aeshi kuwasilisha vielelezo vyake.

kwangu mimi ni bora kuishi bila mbunge kuliko kuendelea kuwa na bw Aeshi, jamaa ni full kilaza kinachompatia nguvu ni pesa yake chafu ndo anayoitumia kufanya lobbing.
Ok, Asante. Mfupa hauna ulimi.
 
Back
Top Bottom