The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Baada ya kutoka Kenya,JK Yuko kama Muangalizi wa jopo la watu mashuhuri kwenye uchaguzi wa Angola.
Kwa hiyo nyie haters wake tambueni kwamba Mungu ndie hupanga maisha ya watu..
Na Rais Samia bila shaka atakuwa kama JK maana huwa anapata mialiko Mingi Sana ndaninya Nchi na Nje kiasi kwamba akisema aende kila mahali atashindwa..👇
Kwa hiyo nyie haters wake tambueni kwamba Mungu ndie hupanga maisha ya watu..
Na Rais Samia bila shaka atakuwa kama JK maana huwa anapata mialiko Mingi Sana ndaninya Nchi na Nje kiasi kwamba akisema aende kila mahali atashindwa..👇