gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,182
- 564
Taarifa yako ni ya kusadikika. Hebu jaribu kuandika kwa weledi ili hata wavivu wa kufikiri kama wewe waelewe. Nikiwa kama mtumishi wa serikali napenda kukufahamisha kwamba wakati wa zoezi la vyeti feki kulikuwa na nafasi ya kukata rufaa. Waliokata rufaa na kuwasilisha utetezi walirudishwa kazini. Na zoezi bado linaendelea.