Usimdanganye mwenzako what if baada ya kumuoa anakuja gundua Ana pipa..Anafaa huyo kuwa na subira mkuu
Kwa hiyo unamshauri mabaya, kama anampenda jeUsimdanganye mwenzako what if baada ya kumuoa anakuja gundua Ana pipa..
" Huyo hafai mkuu... Fukuza kama mwizi mwenzako huyo Ana target ndoa hakuna jipya hapo
Anataka kukuuzia mbuzi kwenye gunia,hahahahahaha
Fanya kumuoa tu uondokane na hizo tabu za kubaniwa tendo la ndoa[u/QUOTE]usishangae akimuoa akawa anapewa kwa mwezi Mara moja the tena kwa masharti makali,
kwa nini kama ni bikira amuache?Ni bikira? Kama ndio muache
Hahahaaaaaa!!!! Afanye tu Kama ananunua mayai! Huwezi jua kua zima Au LA.....Namshauri ashake well before use. Wewe unaweza ukawa unasubiri embe liive ndio ulile ilhali wenzio bichi hilo hilo wanakula na chumvi.
Mayai yenyewe kama ni viza unayarudisha, sasa hebu nambie umefunga ile ndoa kifo ndio kiwatenganishe, unamrusha kwa nani?Hahahaaaaaa!!!! Afanye tu Kama ananunua mayai! Huwezi jua kua zima Au LA.....
USIJE UKAKUTA PA KU_INSERT MJEBELE HAPAPO,Jamani wadau napata shida sana na huyu demu wangu.., hataki kbsa habari za ku sex, anadai kuwa mpka nimuoe ndio kila kitu chake nitakipta tena katika hali ya juu., alafu kitu kitu kinaitwa denda ndio kabisa hataki!! sasa najiuliza nimuache au vp?? Au labda ndio wife material????? Naombeni ushauri wadau
Lumumba fc buku sabaPiga chini hakuna mapenzi ya hivyo hasa Karne ya 21 Nashauri ni Vema Ukamuoa Mchumba uliyempa Ujauzito au uliyezaa naye Tayari unakuta mwanamke anakukatalia sex wakati kashatoa mimba Kibao.
PEPO LA NGONO LIPO KWAKEMsiba huo.... Mm na demu kila time anataka tu sex ili nisichepuke..... Akija hom tunaweza ku sex asubuh hadi saa nane mchana tupo tu kitanda...... Tunacheza....hahaha
Huyo alikua lumumba mwenzako bishaaWapi mi Nina Experience ya Kuliacha Demu la Hivyo! demu ananyonya Mpaka Dushe ndo ugonjwa wake Hebu Jaribu Kupeleka Chini Huko unakuta limevaa Nguo Nyingi. Nikalipiga chini mpaka Leo linanitafuta
Gem tuuKwani wewe Unataka kumuoa au ni game tu???