Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
Maneno hayo yamesemwa na Nape akiwa huko Bukoba. Sijui alikuwa anafurahisha nafsi au alikuwa anataka kuonyesha kuwa kwa cheo alichonacho hawezi tena kwenda South kuchukua rasimu ya Katiba for CC...!
Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu ITV
Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu ITV