Hawana sumuHawa wanaokaa ndani Hawa weupe wadogo vipi
Wewe hujampa Yesu maisha yako. Unajidanganya!Ajali ni ajali tu, Kikubwa uwe umempa Yesu maisha yako, ukifa uende mbinguni, duniani tunapita.
Kwa nini cha mkopo?Uaishi Mtwara, kwenu Bukoba, mmechukua likizo na mnapaswa kusafiri mwezi wa 12, una ki VANGUARD chako cha mkopo, hapo mtafanyaje?
Mkuu vyema kumuamini na kumtumainia Mungu na kuomba Dua lakini hii isikufanye ukaacha kuishi kwa misingi tahadhari ya Dunia kumbuka Mungu ndiye aliyeweka hio misingi ya Dunia sio kuomba tu na kujiachia.Hizi ni juhudi zetu wanadamu hasa tunapofikwa na mambo magumu na yenye kuumiza mioyo yetu....
Lakini kiimani kila mja ataondoka kwa wakati wake.....na wakati wake ukifika haijalishi mko pamoja au mpo mbali mbali bali ataondoka......kila mja ataishi na kurudhukiwa kwa kadri alivyokadiriwa.......kuanzia uhai mpaka ridhiki.......
Hekima na busara sio kuogopa kifo bali ni kujiandaa na maisha baada ya kifo kwa kuyazingatia maarisho yake na kukaa mbali na aliyoyakataza.....
Mungu atujaalie mwisho mwema kwenye maisha yetu.......
IJUMAA KAREEM......
Ilishawahi kutokea? Una uthibitisho? Mtoa mada ameongea kwa kurejelea ajali iliyotokea.Mnaweza panda magari tofauti na yote yakapata ajali,watu wanajilisha upepo tu!
Mjusi ni sumu?Pana vyakula navyo huweza teketeza familia nzima mfano sumu kuvu,au mjusi katumbukia kwenye chakula msijue mkapikia humo humo ni hatari kuacha mboga wazi.
Meli mv bukoba na spices pia zimemaliza familia nzima
Wale wadada wawili waliofariki walisoma Meta High School Mbeya R.I.P Diana and Nora MsPolev
Mada inahusu kupotea muda mmoja so hii sio Fact.Mnaweza kusafiri tofauti na wote mkapotea kwa muda tofauti tofauti
So ni mbogaHawana sumu
Watu wajinga kweli. Dawa unamkwepa tu na ujinga wake.Treni ni salama zaidi kwa familia,barabara zetu siyo salama kabisa,ni nyembamba,leseni za udereva kutolewa kiholela.Wewe unaweza kuwa dereva mzuri lakini dereva mwenzako siyo makini anahama njia anakufuata.Treni ni bora sana kwa mikoa yenye mtandao wa reli.
Why ki ist? Kwa nini siyo Prado?Mwsho wa mwaka ndio usiseme baba mama watoto kwny ki IST
Pana vyakula navyo huweza teketeza familia nzima mfano sumu kuvu,au mjusi katumbukia kwenye chakula msijue mkapikia humo humo ni hatari kuacha mboga wazi.
Meli mv bukoba na spices pia zimemaliza familia nzima
Hata ajali za moto nazo jee!!! Kuna mwaka watu 9 wa familia moja waliteketea kwa moto usiku mmoja.Pana vyakula navyo huweza teketeza familia nzima mfano sumu kuvu,au mjusi katumbukia kwenye chakula msijue mkapikia humo humo ni hatari kuacha mboga wazi.
Meli mv bukoba na spices pia zimemaliza familia nzima
Asante kwa maneno yako mazuri.....Mkuu vyema kumuamini na kumtumainia Mungu na kuomba Dua lakini hii isikufanye ukaacha kuishi kwa misingi tahadhari ya Dunia kumbuka Mungu ndiye aliyeweka hio misingi ya Dunia sio kuomba tu na kujiachia.
Omba Mungu then fanya juhudi zako za kibinadamu.
Anayemuomba Mungu tuepushe na ajari na tupe umri mrefu then akafanya Kama kilichoandikwa kwenye Mada ni Bora zaidi kuliko aliyeomba Mungu the same na akapanda gari moja na familia....Toka nizaliwe sijawai sikia familia iliyokufa kwa mkupuo wakiwa sehemu tofauti ila daily nasikia taarifa za kufa familia nzima kwa incidence Kama hizi.
Mkilala nyumba moja mjitahidi kutengana na vyumba likitokea la kutokea msije mkaacha wtt wenu yatimaKanuni yangu ni kutokutumia chombo kimoja Cha usafiri na mke wangu kipenzi..........hata likitokea watoto wetu wasikose wa kuwasimamia
Japo Naamini kifo hakiepukiki na Siku yako au zenu zikiwa zimefika mtaunganishwa na mauti bila kujali umbali mliopo
Siku hizi tunalala na mitungi ya gas ndani lolote laweza kutokea kwepa sana kulala na uwapendao nyumba moja kwa kuepuka kufa pamoja.Ni jambo la hatari sana kusafiri pamoja kama familia. Huwa nakwepa sana hili.
Lakini uzembe wakati mwingine ukawa wa Gari lingine na sio wewe. Lipo tukio la msabato mmoja alikuwa muhadhiri Moro miaka 20 iliyo pita ilitokea maaeneo ya urafiki basi lilihamia upande wake