Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Kuna mengi mnaweza msingizia Rais nikanyamaza. Nikasemehe. Lakini hili la kusema ana maono.... Hapana hapa mnamkosea sana.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.