bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,141
- 2,020
Naingia moja kwa moja.
Wanasema gift and curse ni vitu viendavyo sambamba. Hili tumeona kwa late Michael Jackson, Whitney Houston na wengineo.
Kwenye suala la uandishi wa mashairi mazuri mr Harmo amefikia viwango vya hatari sana. Nimetoka kuangalia video yake: MWENYEWE, ameachia masaa machache yaliyopita huko YouTube, nimejiridhisha kwa masikio yangu mimi mwenyewe kwamba sio akili ya kawaida inaweza kuzalisha mashairi hayo kwa ubunifu.
Kuna namna ambayo sio salama anatumia huyu jamaa ... Tuombe hicho kinachompa uwezo huo wa ubunifu asiwe mwanamke, k.... Wala asiwe shetani maana inashindikana kabisa kuzuia kutikisa kichwa usikilizapo mashairi yake, ni matamu mno.
Wanasema gift and curse ni vitu viendavyo sambamba. Hili tumeona kwa late Michael Jackson, Whitney Houston na wengineo.
Kwenye suala la uandishi wa mashairi mazuri mr Harmo amefikia viwango vya hatari sana. Nimetoka kuangalia video yake: MWENYEWE, ameachia masaa machache yaliyopita huko YouTube, nimejiridhisha kwa masikio yangu mimi mwenyewe kwamba sio akili ya kawaida inaweza kuzalisha mashairi hayo kwa ubunifu.
Kuna namna ambayo sio salama anatumia huyu jamaa ... Tuombe hicho kinachompa uwezo huo wa ubunifu asiwe mwanamke, k.... Wala asiwe shetani maana inashindikana kabisa kuzuia kutikisa kichwa usikilizapo mashairi yake, ni matamu mno.