Hard Talk: Tujadili Udhaifu wa Serikali ya JK

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Nadhani tunakubaliana kuwa serikali ya JK ni dhaifu. Hata wakubwa wa CCM na serikali wanakubaliana na hili. Udhaifu wa aina hii unarudisha nchi nyuma na kiongozi ajaye atapata shida sana kusahihisha makosa. Kuna nyufa zimejengwa na kiongozi huyu dhaifu. Swali ni je, udhaifu huu unatokana na nini? Je, ni sifa gani anapaswa kuwa nazo kiongozi ajaye? Je, ni nani anafaa kuwa rais ajaye bila kujali chama? Sioni kama chama kitatufikisha mahali, nadhani tunapaswa kuwa na mtu anayeweza kuongoza bila kujali chama chake. Hebu tuzungumze bila ushabiki, mfumuko wa bei kwa mfano unatuathiri wote, hivyo ushabiki hautusaidii tuitetee nchi
 
Inashangaza nyie wapinzani,badala ya kujadili uthaifu wenu ili muweze kujirekebisha mnapoteza muda kujadli rais wetu
 
Nadhani tunakubaliana kuwa serikali ya JK ni dhaifu. Hata wakubwa wa CCM na serikali wanakubaliana na hili. Udhaifu wa aina hii unarudisha nchi nyuma na kiongozi ajaye atapata shida sana kusahihisha makosa. Kuna nyufa zimejengwa na kiongozi huyu dhaifu. Swali ni je, udhaifu huu unatokana na nini? Je, ni sifa gani anapaswa kuwa nazo kiongozi ajaye? Je, ni nani anafaa kuwa rais ajaye bila kujali chama? Sioni kama chama kitatufikisha mahali, nadhani tunapaswa kuwa na mtu anayeweza kuongoza bila kujali chama chake. Hebu tuzungumze bila ushabiki, mfumuko wa bei kwa mfano unatuathiri wote, hivyo ushabiki hautusaidii tuitetee nchi

Ibaje, nakuunga mkono asilimia 150. Kama mtu hauni udhaifu uliopo katika serikali ya Tanzania basi huyo anaudhaifu mkubwa katika kichwa chake. Wachangiaji wengi katika JF ama wako nje ya nchi au wameshakaa au kutembelea nchi zilizoendelea au wamesoma/kuona au kusikia kwenye vyombo vya habari jinsi nchi zilizoendelea zilivyo. Watu wanaosema hakuna udhaifu katika serikali yetu wanajidanganya nafsi zao na unafiki umewajaa mioyoni mwao.
Kuhusu kiongozi ajaye, ni kweli nakubaliana na wewe kuwa ushabiki wa vyama hautusadii katika kujikwamua na janga la umaskini tulilonalo. Watu wanatumia pesa nyingi kuingia madarakani na matokeo yake wanafanya kila liwezekanalo kuiba ili kurudisha pesa walizotumia matokeo yake ni umasikini kwa nchi nzima. Kiongozi mzuri anaweza hata kuwa katika CCM lakini kutokana na mfumo mbovu uliopo ndani ya Chama hicho na nadhalia iliyopo ndani ya chama hicho ya kutumia pesa nyingi kupata uongozi, itakuwa ngumu kwa kiongozi huyo ufikiria maendeleo ya nchi kuliko kufikiria jinsi ya kurudisha pesa alizotumia kupata uongozi alionao.
Udhaifu mkubwa ninao uona kwa viongozi wetu (hii ni kwa hata Wapinzani)
- Pesa nyingi inatumika kupata uongozi
- Dhamila ya kiongozi ni mtumishi wa umma hakuna tena bali viongozi waliopo wanataka kutumikiwa
- Ukiwa kiongozi Tanzania unakuwa juu ya sheria (sheria ni kwa wasiokuwa nacho)
- Hakuna kiongozi anayewajibika kwa madudu anayofanya. Hii inaondoa woga na watu wanafanya wapendavyo.
- Kwa kuwa Mukulu aliingia madarakani kwa madhambi, anaogopa kuwafanya lolote wanaofanya madhambi kwani wanajua madhambi yake.
- Pesa imekuwa kigezo cha kupata uongozi Tanzania. Na hii inafanya uongozi kuwa biashara (any businessman has to make profit)
- CCM wanajua mtaji wao mkubwa ni Umasikini wa Watanzania na kuwaletea maendeleo watanzania ni kutengeneza mazingira ya kuwaondoa madarakani (hawako tayari kwa hilo)

Kiongozi akitoka CCM itakuwa ngumu sana kubadilisha dhamila za wana CCM wengi ambao hawaoni matatizo tuliyonayo kama yanaweza kutatuliwa. Wengi wamefanya umasikini kuwa ni sehemu yao ya maisha na kulalama kila siku kuwa Mungu aliwaumba kuwa masikini badala ya kuangalia njia mbadala za kujaribu kuondokana na umasikini.
 
Nadhani tunakubaliana kuwa serikali ya JK ni dhaifu. Hata wakubwa wa CCM na serikali wanakubaliana na hili. Udhaifu wa aina hii unarudisha nchi nyuma na kiongozi ajaye atapata shida sana kusahihisha makosa. Kuna nyufa zimejengwa na kiongozi huyu dhaifu. Swali ni je, udhaifu huu unatokana na nini? Je, ni sifa gani anapaswa kuwa nazo kiongozi ajaye? Je, ni nani anafaa kuwa rais ajaye bila kujali chama? Sioni kama chama kitatufikisha mahali, nadhani tunapaswa kuwa na mtu anayeweza kuongoza bila kujali chama chake. Hebu tuzungumze bila ushabiki, mfumuko wa bei kwa mfano unatuathiri wote, hivyo ushabiki hautusaidii tuitetee nchi

Saikolojia uliyosoma ni ya watoto wadogo siyo? unaona hapo umejificha sana kuonesha unaegemea wapi? umeshatambua kuwa hii ni tovuti ya wagumu wa kuelewa na wepesi wa kusahau au vipi. Haya wenye akili kama zako utawakamata tu na utakuwa umeingiza siku kupitia pesa za BILCANA hongera.
Mnakiri wewe na nani?
Unasema serikali ya JK ni dhaifu ukilinganisha na ya nani?
Hali ya fedha duniani wakati huyo unayefikria alikuwa/atakuwa rais ilikuaje/itakuaje na sasa ikoje?
Mbona unaongelea mfumuko wa bei? au kwa kuwa ndo wimbo wenu? Umepotea. Nendeni mkayaongee hayo kwenye majukwaa, maandamano na kwenye migomo kama kawaida yenu. Humu si sehemu ya kutukana watu.
Eti hata wakubwa CCM wanaikubali hali hii, akina nani hao?
Unataka kumtengenezea rais ajae mazingira ya kulalamika kwamba aliikuta nchi katika hali ngumu na hivyo ni vigumu kufanya hata aliwezalo. Watu wengine bwana . Labda awe kutoka kwa wale wasiyo na sera bali kukashfu, kchonganisha na Umafya wa kila aina. Hebu kawambie waliokutumba, Waandae maneno mengine.
 
Asante. Short and clear, anataka kutengeneza madhaifu kama alivyotumwa hivi kwanza, vijana CDM wamewatoa wapi? au ndo kundi moja na Mheshiwa baada ya kuacha Ujambazi yeye kbahatisha Ubunge wao wakaletwa humu?
 
Nadhani tunakubaliana kuwa serikali ya JK ni dhaifu. Hata wakubwa wa CCM na serikali wanakubaliana na hili. Udhaifu wa aina hii unarudisha nchi nyuma na kiongozi ajaye atapata shida sana kusahihisha makosa. Kuna nyufa zimejengwa na kiongozi huyu dhaifu. Swali ni je, udhaifu huu unatokana na nini? Je, ni sifa gani anapaswa kuwa nazo kiongozi ajaye? Je, ni nani anafaa kuwa rais ajaye bila kujali chama? Sioni kama chama kitatufikisha mahali, nadhani tunapaswa kuwa na mtu anayeweza kuongoza bila kujali chama chake. Hebu tuzungumze bila ushabiki, mfumuko wa bei kwa mfano unatuathiri wote, hivyo ushabiki hautusaidii tuitetee nchi

Ukiwa na mawazo yako, hasa mgando kama haya usiwe unajaribu kuwasingizia watu kwamba mmekubaliana. Hakujawahi kuwa na makubaliano na wewe au mtu mwingine kuhusu hicho unachoita wewe udhaifu. Tuondolee upupu wako tuangalie ya maana.
 
Inashangaza nyie wapinzani,badala ya kujadili uthaifu wenu ili muweze kujirekebisha mnapoteza muda kujadli rais wetu

Raisi wenu? mhhhhh!!!!! mtoa hoja alidhani ni raisi wa tanzania kumbe ni raisi wenu!!!!!!!!!!!!!
 
kwanza kabisa nakubaliana nawe na hoja kwamba tujadili sifa za rais ajaye bila kujali itikadi za vyama, pili napingana na imani yako potofu kuwa serikali ya JK ni dhaifu....huo udhaifu wa kuangalia mfano wa mfumko wa bei si sahihi kwani uchumi wa dunia nzima ivi sasa unayumba...tumeshuhudia maandamano juu ya hali ngumu ya maisha huko uigereza,marekani na nchi nyingi za ulaya ambazo uchumi wao uko juu.sasa wewe unapokurupuka toka singizni na kuja na porojo apa hatukuelewi....acha kudanganya watu wewe.
..........kuhusu qualities za rais ajaye,tunataka mtu mzalendo,anaemaanisha anachokisema na anaejua matatizo ya watanzania.tunataka mtu atakaeishi anayoyasema naatakaetenda anayoyasema.....watanzania wenye uwezo wapo.
 
kikwete ni imara sema kuna watu wenye chuki binafsi ndiyo wana ulegelege wa kufikiri
 
Back
Top Bottom