Uko sawa mkuuKipindi cha Nyerere kilikuwa zama nyingine kabisa. Mengi aliyofanya Nyerere yalikubalika na kuendana na harakati za kipindi hicho. Afadhali Nyerere mara kumi, nchi nyingine za kiafrika zilikuwa na marais wabaya na wauaji. Wapinzani walikuwa wanaua kama wanyamana marais walijilimbikizia madaraka na mali kwa faida yao. Kufananisha enzi za Nyerere na Magufuli ni kama unafananisha maji na mafuta.