Watanzania leo tunaikumbuka cku ambayo baba wa taifa Mwl J.K Nyerere alitutoka.
Kiukweli kabisa mwalima alifanya mambo mengi mazuri na machache mabaya kama binadamu.
Jukumu letu kama watanzania wazalendo ni kuienzi hii siku kwa kutafakari na kuyafanyia kazi yale yote mema aliyotufanyia mwalimu.
RIP Mwalimu, mungu ibariki Tanzania
Kiukweli kabisa mwalima alifanya mambo mengi mazuri na machache mabaya kama binadamu.
Jukumu letu kama watanzania wazalendo ni kuienzi hii siku kwa kutafakari na kuyafanyia kazi yale yote mema aliyotufanyia mwalimu.
RIP Mwalimu, mungu ibariki Tanzania