elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Wajua team wema walipoanzisha operation ya bring back our wema na wema akamwaga diamond wakafurahi kweli.Hiviiii mbona mmemganda chibu jamani...mbona wema alitoka na kina blue ...t.I.d..jumbe etc...why chibu?? Na je chibu angefulia mngeendeleza kujipendekeza...???..
Sasa hawakutegemea move aliyofanya diamond akachukua zari mtu ambaye hawakuwaza kabisa na alimchukua mtu ambaye anaonekana yuko juu ya madam wema basi ikawa kama wamekomeshwa wakaanza bifu.
Ikabidi ajiweke kwa mzee wa big brother lakini idris bado ustar na hadhi yake halingani na diamond so bado wanaona kapigwa bao.
Team wema wamekosa mtu ambaye atamfunika diamond sasa wakaanza kampeni ya kumtukana zari na kuzusha story mara wema kalala madale mara diamond kalala kwa wema yani ni ka operation flan ka take back our wema.
Wataacha msumbua diamond iwapo wema atampata mbwana samantha au mtu star zaid ya diamond au muheshimiwa ka wa k.lyn