Happy birthday to me

Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen

Happy birthday 🎈🎊🎉🎁🎂 to me kwa mara nyingine tena.

Happy birthday y’all team Gemini 🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️

Chakorii
Happy belated birthday to you!
 
Huyo ni mpinzani wangu maana kweli nilimtaka mahondaw ila akanizidi maarifa. Ila sasa naona kuwa ilikuwa ni halali maana siwezi kujiweka kwa mke wa mtu wakati ndani naacha mke. Afterall mwanamke akiwa na mtoto, huwa namheshimu maana unaweza kujikuta nawe unaweka katoto kako; hapo msala wa kuwatunza wote huwezi kuukwepa.
nani alikuwa mpinzani wako?? Anyway kazi iendelee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom