Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Na wewe kwa kudoea, ole wako tukuone kwenye birthday party ya PJ. Najua hujakaribishwa.
Umechelewa kaka kadi ninayo toka weldi kapu haijaanza.
Na wewe kwa kudoea, ole wako tukuone kwenye birthday party ya PJ. Najua hujakaribishwa.
Tatizo unafikiri ile kadi ya harusi ya Msindima ndio ya birthday ya PJ!!! Umeumia magotini dada!Umechelewa kaka kadi ninayo toka weldi kapu haijaanza.
Baba Askofu, ukiona vyema, waweza kuniruhusu niwe mhesabuji wa sadaka?Madhabahuni...
Ntaanza ushirikiano kwa kukusaidia kuwachunga kondoo wako.... Hasa wale walionona mikia.:confused2:... :nono:.... ukionyesha ushirikiano wa kutosha unaweza kupewa konsidaresheni...
Mbwa mwitu hawana mamlaka mbele ya mchungaji msaidizi wa askofu. Watashindwa na kulegea magoti, meno na makalio yao....He he heee... haya bwana... cha muhimu uhakikishe tu usalama wao, wasijeliwa na mbwa mwitu...
so when u was conceived PK....Huh...this's the best of the days to me!...maana parents wangu walinisimulia kuwa ndo niliyozaliwa!...Lakini bado nauliza swali...How to count my age?..is it from the day i was conceived, or the day i was born?I might be older than iam said to be!!
Tatizo unafikiri ile kadi ya harusi ya Msindima ndio ya birthday ya PJ!!! Umeumia magotini dada!
lets wait and c kama ni yenyewe, kama hujanikuta nimewahi ukumbini.
pj please confirm time.
Kanisa lako lina EXIT? Naona kama nimeingia choo cha kike nikasahau kuchuchumaaray2:... Roho mtakatifu anatenda kazi...:amen: (bado ya kuachisha watu kudumisha mila)
Uje single tafadhali (nami ntakuwa single)arty:Lets wait and c kama ni yenyewe, kama hujanikuta nimewahi ukumbini.
PJ please confirm time.
We tetee aa teteteteee agrrrrrrrrrrr hebu nisaidie kulitamka jina lako dada/kaka yangu. LOL
Thanks yangu unahusika na hapo tu (Askofu, am sore kwa leo, sadaka atahesabu Bigirita)time...1700gmt.comeone come all.couples allowed,concubines allowed!
Ulimi wangu umepata accident wakati wa kutamka hiyo. hebu nifundishe kulitamka kibantu.Tete'a'tete....ehe kimekufurahisha nini hapo..............................
HEHEHE!time...1700gmt.comeone come all.couples allowed,concubines allowed!