huyo ronaldinho wako hajafunga kama messi
hajachukua tuzo kama messi
hajaassist kama messi
hajavunja rekodi kama messi
hajaweka rekodi kama Messi
Messi nuksi sana tena sana
Rekodi(VITENDO)zinaongea sana kuliko mbwembwe(MANENO)... MESSI NITAMKUMBUKA KAMA MCHEZAJI HATARI ZAIDI KTK ZAMA ZANGU, NITAMWADITHIA NA MWANANGU PENGINE ATAKUA MESSI WA PILI
Hajawahi na haitakuja kutokea kama gaucho dunia hii
taarifa zipo nyingi...
1. taarifa za wapenzi kunasiana pale ktk hospital ya temeke...
2. taarifa za mganga anaesafirisha wabeba madawa ya kulevya bila kuonekana airport...
3. taarifa za mashambulizi ya panya road...
ila yoote ni 9, kumi huo wako ni mtazamo tu kama jina lako.
karibu tena
Rekodi(VITENDO)zinaongea sana kuliko mbwembwe(MANENO)... MESSI NITAMKUMBUKA KAMA MCHEZAJI HATARI ZAIDI KTK ZAMA ZANGU, NITAMWADITHIA NA MWANANGU PENGINE ATAKUA MESSI WA PILI
Acha kufananisha vijana wa vijiweni na vyeo vya heshima kama hivyo. Kama wewe huna dini usitake kugusa imani za wenzako kwa mizaha kama hii.
Lugha ziko nyingi za kuwasilisha unachokiamini ni kizuri lakini sio kwa staili hii.
barca wakaanza kupata vikombe na makombe.
barca wakafanikiwa hata kupata ushindi nyumbani kwa hasimu wao Real Madrid, na moja kati ya mechi ya kukumbukwa ni ile ambayo Dinho alitupia kamba mbili na kupelekea washabiki nguli wa los blancos kuinuka kwenye viti vyao na kuanza kumpigia makofi...kitendo hiki cha kishujaa kiliwahi kumtokea pia Diego Maradona baada ya kuwashikisha adabu Madrid hapo Bernabeu.
no one else
rekodi bila World Cup ni sawa na suti bila koti. Haya kajipange kisha uje tena
khe khe khe khe
nenda uholanzi utakutana na wanaume ambao hawajachukua wc je si bora ?
wakati Julian Draxler kachukua kombe bila kucheza mechi hata moja khe khe khee
Kwanza ronaldinho alibebwa kama julian kama hujui hilo
Unafahamu nani aliitoa England kwnye world cup 2002??? Unafahamu ile free kickbilipigwa na nani??
Kinachosikitisha ni kwamba dinho hakuwa kwenye peak yake kwa zaidi ya miaka 4 ... Ila ni ukweli usiopingika kuwa Dinho ni fundi mpira bora kabisa katika karne hii ya 21 tukiachana na masuala ya rekodi sijui mataji , magoli na mengineyo...
Messi atabaki kwnye nafasi yake kama mchezaji hatari zaidi karne hii ila hakuwa na skills na burudani kama za dinho
Huyu mtu mm sijawahi kumsikia kuwa haitakaa itokee? Ana sifa zipi chenga zipi alizowahi zitoa, magoli yapi kama ya:Hajawahi na haitakuja kutokea kama gaucho dunia hii
khe khe khe khe
nenda uholanzi utakutana na wanaume ambao hawajachukua wc je si bora ?
wakati Julian Draxler kachukua kombe bila kucheza mechi hata moja khe khe khee
Kwanza ronaldinho alibebwa kama julian kama hujui hilo
huyo ronaldinho kaitwa mwishoni kipindi kile ronaldo yupo form zake humtaji ronaldinho watu wananyoa kama ronaldo tu
Messi hajawahi kuchukua kombe la dunia ila kawa mchezaji bora wa mashindano
Huyu Messi kumuangalia ni raha
Kama barcelona wanacheza nabadilisha ratiba zangu zote