KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
Happy birthday day love, sweet heart, baby, mahabuba, laazizi, kipenzi changu......
wakuu vip?Hajar ndoa yetu lini ?
anyway hbd
Nishafika kabisa wala sihitaji kuwahi, hapa nasubiri tu muda ufike nifanye mawandaziii....Happy birthday dada angu kipenzi msiri wangu mwandani wangu shoga angu damu yangu nashindwa hata kuandika maneno mengine Allah akupe umri tele utakaokunufaisha duniani na kesho Akhera mwifwa Daveti leo muwahi ftar dada kasogeza siku keki kulekule nazani mnapafahamu
hahah nakujua wew kwa ude tu ila leo ni hatari kabisa kampitie mwenzio mje woteNishafika kabisa wala sihitaji kuwahi, hapa nasubiri tu muda ufike nifanye mawandaziii....
Atakuja tu huenda anafanya mazoezi, si unajua tena anapenda mpira...hahah nakujua wew kwa ude tu ila leo ni hatari kabisa kampitie mwenzio mje wote
nasisitiza umpitie mje wote nakujua wewAtakuja tu huenda anafanya mazoezi, si unajua tena anapenda mpira...
haha leo huli keki halafu maan ndo ilokuwahishaAtakuja tu huenda anafanya mazoezi, si unajua tena anapenda mpira...
Hahahahahaaaa.nasisitiza umpitie mje wote nakujua wew
ndo maan nikakwambia uje nae leo huli maan umezoea kudeka san cc Davet jikongoje uje mdog wanguHahahahahaaaa.
Nataka achelewe kidogo ili nifaidi keki kwanza..