Happy birthday Emanuel Okwi, afikisha miaka 26

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,237
103,895
FB_IMG_1514215859955.jpg

Huyu ni mchezaji hatari wa Club ya Simba

Hongera mdogo wangu Okwi kwa kufikisha miaka 26
 
Kuna Jamaa kitaa alikuwa na Umri wa miaka 27 kipindi hicho akashangaa kuona Kado yupo kwenye kikosi cha under23 wakati jamaa miaka wote wamecheza kitaa Na Kado alikuwa broo kwa mshikaji.Jamaa akawa anasema Kado miaka inarudi nyuma badala ya kwenda mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom