OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,237
- 103,895
Huyu ni mchezaji hatari wa Club ya Simba
Hongera mdogo wangu Okwi kwa kufikisha miaka 26
Sasa naanza kuelewa...kweli, jamaa ni Mganda.Huyu jamaa either umri wake umeganda ama unapungua!
Unarudi nyuma asee kutokea 30 na kitu iviHuyu jamaa either umri wake umeganda ama unapungua!
Shauri ya mazoezimbn sura ngumu
Mie mwenyewe nimeushangaa, nimebaki nimeYan mpaka leo ana miaka 26??
Hivi Kwanini Wachezaji wa Mpira Huwa wanaonekana wazee ukilinganisha Na Umri wao? Huku kitaa kuna jamaa kibao Wana umri mkubwa tu lkn wanaonekana wadogo kuliko wachezajiView attachment 658955
Huyu ni mchezaji hatari wa Club ya Simba
Hongera mdogo wangu Okwi kwa kufikisha miaka 26
Imekuletea madhara yeyote?Mie mwenyewe nimeushangaa, nimebaki nime