ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,742
Leo ni Birthday ya Miaka 85 ya marehemu Rais Benjamin Mkapa ,Rais wa awamu ya 3 wa Tanzania.
Mkapa alisifiwa kama Kiongozi aloyepata mafanikio makubwa ya Kiuchumi Kufuatia kuongoza Mageuzi ya Uchumi yaliyoasisiwa na Rais Mwinyi na kujifanya Tanzania kupaa kiuchumi.
Happy birthday baba wa Uchumi wa Tanzania.
Nyayo zako zinaendelea kutekeleza Kwa Kasi zaidi na Rais Samia Kwa kuasisi falsafa ya Mageuzi ya Kisiasa na Uchumi unaoongozwa na sekta binafsi.
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1723669679724478871?t=mqQ1yJVCoeEMm4-UUiquZA&s=19
Mkapa alisifiwa kama Kiongozi aloyepata mafanikio makubwa ya Kiuchumi Kufuatia kuongoza Mageuzi ya Uchumi yaliyoasisiwa na Rais Mwinyi na kujifanya Tanzania kupaa kiuchumi.
Happy birthday baba wa Uchumi wa Tanzania.
Nyayo zako zinaendelea kutekeleza Kwa Kasi zaidi na Rais Samia Kwa kuasisi falsafa ya Mageuzi ya Kisiasa na Uchumi unaoongozwa na sekta binafsi.
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1723669679724478871?t=mqQ1yJVCoeEMm4-UUiquZA&s=19