Happy b'day Freeman Mbowe (KUB)!!

Nyakageni

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
15,045
5,093
Tarehe kama ya leo miaka 52 iliyopita ardhi ya Tanganyika ilipata baraka kubwa baada ya kupata mtoto aitwae freeman Aikael Mbowe!

Mheshimiwa Mbowe amekuwa na muono wa mbali sana kuhusu taifa hili; amejitolea mwili, nguvu, akili na muda wake kuhakikisha tunaipata 'Tanzania tuitakayo'.

Ameijenga taasisi ya CHADEMA toka zero mpaka sasa ni hero, amegeuza mambo katika siasa za Tanganyika na kwa sasa ni watu wachache wenye matatizo ya akili watapinga kwamba yeye ndiyo 'icon ya siasa'.

Ametukanwa sana, amekejeliwa sana, amepigwa sana, amekoswa na mabomu sana! Hadi katukaniwa mkewe bungeni (Dr. Kigwangalla) Lakini hakuwahi kukata tamaa, hakuwahi kupata taharuki na kulipa kisasi.

Anastahili heshima kubwa, kama mwana JF wa miaka mingi, mimi na wewe tumuombee kwa Mwenyezi Mungu aishi maisha marefu na kuona 'nchi ya ahadi' ingawa yeye kashasema na kuandika katika gari lake, 'nikifa leo msinililie bali nizikeni na endeleeni na mapambano'

Hatutokuangusha jabari letu, there is light at the end of the tunnel!

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Freeman Aikael Mbowe

Happy b'day M/kiti na KUB
 
Last edited by a moderator:
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,



Swala la matumizi ya Chopa linakuwasha sana! Pole sana dada! Ni moja kati ya ubunifu uliotukuka!

Heri ya siku ya Kuzaliwa Mh. Freeman Aikaeli Mbowe!
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,

kwa hoja hii unajiaibisha, uzuri wake hautumii jina halisi
1. Hela watu tunatoa kwa hiari tena kwa moyo wa kupenda

2. Kujenga chama ni kujenga ofisi!?, na si mikutano ya hadhara

3. Loading.......
 
Swala la matumizi ya Chopa linakuwasha sana! Pole sana dada! Ni moja kati ya ubunifu uliotukuka!

Heri ya siku ya Kuzaliwa Mh. Freeman Aikaeli Mbowe!

anasahau kuwa hata magamba huwa wanaiga ila ufisadi unasababisha washindwe
 
Happy Birthday Mh Kamanda Freeman Mbowe. May G-D bless with health, peace and prosperity!
 
Tarehe kama ya leo miaka 52 iliyopita ardhi ya Tanganyika ilipata baraka kubwa baada ya kupata mtoto aitwae freeman Aikael Mbowe!

Mheshimiwa Mbowe amekuwa na muono wa mbali sana kuhusu taifa hili; amejitolea mwili, nguvu, akili na muda wake kuhakikisha tunaipata 'Tanzania tuitakayo'.

Ameijenga taasisi ya CHADEMA toka zero mpaka sasa ni hero, amegeuza mambo katika siasa za Tanganyika na kwa sasa ni watu wachache wenye matatizo ya akili watapinga kwamba yeye ndiyo 'icon ya siasa'.

Ametukanwa sana, amekejeliwa sana, amepigwa sana, amekoswa na mabomu sana! Hadi katukaniwa mkewe bungeni (Dr. Kigwangalla) Lakini hakuwahi kukata tamaa, hakuwahi kupata taharuki na kulipa kisasi.

Anastahili heshima kubwa, kama mwana JF wa miaka mingi, mimi na wewe tumuombee kwa Mwenyezi Mungu aishi maisha marefu na kuona 'nchi ya ahadi' ingawa yeye kashasema na kuandika katika gari lake, 'nikifa leo msinililie bali nizikeni na endeleeni na mapambano'

Hatutokuangusha jabari letu, there is light at the end of the tunnel!

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Freeman Aikael Mbowe

Happy b'day M/kiti na KUB

Naungana na wewe kumtakia Mbowe maisha marefu. Kumbe ameingia kwenye kundi la wazee? Vijana si wanaishia miaka 45?

Ila hapo penye wekundu nadhani sikubaliani na wewe. Ni kweli kwenye uongozi wa Mbowe CHADEMA imekuwa chama Kikuu cha Upinzani lakini siyo kwamba kabla ya Mbowe CHADEMA haikuwa chochote. Tukumbuke kuna wazee walifanya makubwa ndani ya CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye ramani pamoja na kuweka mikakati ambayo matunda yake ni haya yanayoonekana leo. Akina Mzee Bob Nyanga Makani (RIP), Mzee Mtei, Brown Ngwilulupi, Edward Barongo, Dr. Kabourou, nk.
 
Happy Birthday Kamanda Mkuu. MUNGU akupe maisha marefu uivushe meli hii ya mabadiliko salama!
 
HBD Jembe!!

cake4.jpg
HAPPYBDAY.jpg
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia 00 anazungunga arusha nzima na moshi,
ulitaka apae na ungo au............
 
ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,

nimejaribu kukuelewa sikufaniKiwa. Walewale wa rudia kupanga matokeo UPYA labda nitahama kwenye kundi la 0%.Shame on you pro lumumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom