Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
(MWALIMU);John,haya majibu ya mtihani wako yanaonyesha ulikuwa unatazamia kwa jane. (JOHN);Kwanini mwalimu unadhani nimetazamia?. (MWALIMU);Swali la Rais wa kwanza wa Tanzania,Jane amejibu ni Nyerere na wewe umejibu ni Nyerere. Swali la mlima mrefu kuliko yote Africa,Jane amejibu,'kilimanjaro' na wewe umejibu 'Kilimanjaro'. Swali la mto limpopo uko wapi,Jane amejibu,'sijui' na wewe John umejibu,'hata mimi sijui'.>>>>>>>> (Thanks Lord for blessing me with another birthday).