Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Haviendani na ndio maana nikakwambia hivyo sivyo alivyo, simu zinaongezea urembo fulani tu.angalia mandhari ya nyumba, jinsi ilivyo na nyasi unazotaka wewe ziwepo, vinaendana??
Haviendani na ndio maana nikakwambia hivyo sivyo alivyo, simu zinaongezea urembo fulani tu.angalia mandhari ya nyumba, jinsi ilivyo na nyasi unazotaka wewe ziwepo, vinaendana??
Kwani jacquiline hakuwa ametulia kabla hajaolewa na Dkt. Machache?Endelea kuwaza hivyo hivyo Shekhe wangu kwa kuwa hulipii VAT,
Nenda kamgonge mke wa Bahkres au Mengi!!
Kama huna hela huwezi kumbadilisha mwanamke tabia,
Mke wa Mengi alikuwa celebrity kama siyo alipata mwanaume mwenye pesa asingetulia! Wabongo bhana kwa kujifariji hamjambo!
Duh uwiioiiieee
Alikimbizwa na mama yake toka Arusha maana alitaka kubakwa na baba yake wa kamboHuyu Hana wazee?
Hilo ni kosa kubwa sana. Utamfahamuje na kumpost humu halafu huna namba? Ushanikera
Atakuwa alikuwa anamtegatega baba watu si bure uzalendo ukamshinda.Alikimbizwa na mama yake toka Arusha maana alitaka kubakwa na baba yake wa kambo
Unasema?? Subiri team wema waje umalizane naohuyo ndio mrembo sio wemaa
team wema wapo insta huku tupo waelewa woteUnasema?? Subiri team wema waje umalizane nao
Umesema vemateam wema wapo insta huku tupo waelewa wote