Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,269
- 5,668
Kile kichomfanya apige push up wakat Wa kampen ndicho kinachomfanya Leo atembee kigwaride,anajivunia "afya" yake
Na wewe uliona Mkuu. Sijaipenda kwa kweli muvi ile, inafanya watu waanze kufikiria na stori zilizozagaaDaaaah ingekua bonge la muvi, maana alijifanya bize kupiga makofi kama hamuoni vile
Sasa ulitaka watu wachekelee hata upuuzi?Mmezidi na nyie.kila kitu mnaponda
Obama angeitwa Muungwana/Mkakamavu.Angefanya Obama mngesema ni kawaida ila kwa kuwa kafanya Magufuli mnamkosoa.
Magufuli haishi kwa mazoea.
Hakuna alichokosea mh. Rais. Natoa hoja kama mtaalamu kwenye fani hiyo.Naona kuna mnaomsifia alichofanya Rais na kuna mnaomponda. Kwani nini maana ya kukagua gwaride? Rais akiwa amiri jeshi mkuu na akipewa kazi ya kukagua gwaride anatakiwa akague gwaride na si vinginevyo. Alichokifanya Rais ni kupita mbele ya gwaride huku akipiga kwata kana kwamba yeye ndiye anakaguliwa. Tuache masihara kwenye mambo ya muhimu,sifa nyingine zinaiaibisha nchi.