Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,229
Jamani kila mara nawaza na ninapenda kuwa na familia yangu(kuoa),kuwa na nampenzi mwaminifu,but mimi nikifiria maisha baada ya kuoana naanza kuwaza sana,kwa mfano najiuliza.
Je akija kuniacha kwenye ndoa itakwaje?
tukiwa na ugomvi wa mara kwa mara furaha ya ndoa itakuwa nini?
nawaombeni ushauri maana hizi fikra zangu zinanichanganya kweli.
Je akija kuniacha kwenye ndoa itakwaje?
tukiwa na ugomvi wa mara kwa mara furaha ya ndoa itakuwa nini?
nawaombeni ushauri maana hizi fikra zangu zinanichanganya kweli.