Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 May 31, 2013 #1 Unaamini watafika safari yao au wanatafuta kupiga picha tu? View attachment 95871
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 May 31, 2013 #3 Mbaula mkuu 682,kiboko hii truck haishindwi mzigo,mwendo wa kinyonga lakini inafika
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 May 31, 2013 #5 watakuwa wanaigiza tu muvi hapo,
life is Short JF-Expert Member Apr 1, 2013 4,741 3,031 Jun 1, 2013 #6 Wakuu hiyo kweli; Safari inaanzia West Africa inaishia North Africa.... baadaye kuelekea Ulaya.!! good luck wafike salama.
Wakuu hiyo kweli; Safari inaanzia West Africa inaishia North Africa.... baadaye kuelekea Ulaya.!! good luck wafike salama.
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,911 1,131 Jun 1, 2013 #7 Totos Boss said: Unaamini watafika safari yao au wanatafuta kupiga picha tu? View attachment 95871 Click to expand... Hii style ipo sana sehemu za DRC, kwa watu waliofika Lubumbashi kwenda Kilwa wala sio kitu cha ajabu.
Totos Boss said: Unaamini watafika safari yao au wanatafuta kupiga picha tu? View attachment 95871 Click to expand... Hii style ipo sana sehemu za DRC, kwa watu waliofika Lubumbashi kwenda Kilwa wala sio kitu cha ajabu.
Kiresua JF-Expert Member May 13, 2009 1,184 259 Jun 1, 2013 #8 Totos Boss said: Unaamini watafika safari yao au wanatafuta kupiga picha tu? View attachment 95871 Click to expand... hamna safai hapa mkuu hahahah
Totos Boss said: Unaamini watafika safari yao au wanatafuta kupiga picha tu? View attachment 95871 Click to expand... hamna safai hapa mkuu hahahah
leipzig JF-Expert Member Jan 9, 2013 2,767 1,703 Jun 1, 2013 #9 Inanikumbusha mabomu ya Gongo la Mboto, tulipanda gari kwa mtindo huu.
nanjilinji JF-Expert Member Apr 28, 2013 1,178 523 Jun 1, 2013 #10 Chocs said: Ni zaidi ya jumuiya..!! Click to expand... Hujambo Mrembo?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Jun 2, 2013 #11 taswira kama hii nimeiona kulekea Mwanuzi toka Maswa
K KYALUMUKUNZA Senior Member Aug 19, 2012 145 28 Jun 2, 2013 #13 nimekumbuka siku zile lorry la mnada linapotinga kijijini kwetu.
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jun 3, 2013 #14 Hao bado wajima huku kwetu Mbagala tumeendelea mbele hatukai tena foleni: