Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Hivi huyu mtangazaji mrembo wa Itv & radio one ameolewa? Nampenda sana natamani nimwoe ila sijui historia yake.
Unampenda? Unamtamani?
atakuwa anamtani huyoo kima..
ha ha ha! nimependa matumizi ya jina lake..ID zingine hizi dah! Kima, MBWA dah!
haya ..hanifa kaolewa na anakaa sinza mori..mbona wa kawaida sana? anaongea as if hajaenda shule sijui namuonaje..kweli watu tuna tofautiana Loh!!!
Hivi huyu mtangazaji mrembo wa Itv & radio one ameolewa? Nampenda sana natamani nimwoe ila sijui historia yake.
Hivi huyu mtangazaji mrembo wa Itv & radio one ameolewa? Nampenda sana natamani nimwoe ila sijui historia yake.
Huyo ni mama mtu mzima ila anaonekana kijana kwa sababu anajitunza.
ha ha ha! nimependa matumizi ya jina lake..ID zingine hizi dah! Kima, MBWA dah!
haya ..hanifa kaolewa na anakaa sinza mori..mbona wa kawaida sana? anaongea as if hajaenda shule sijui namuonaje..kweli watu tuna tofautiana Loh!!!
hakuwahi kweli kuwa mwimbaji wa Bongo Fleva enzi zake?
Demu anaongea kizagazaga vile afu mtu anamzimia! Kweli tunatofautiana! Mswazi typical!
Amewahi kuimba bongo fleva. Hata hivyo hakufanikiwa sana kwenye fani hiyo. Katoa wimbo mmoja tu unaitwa *Joto* na hajasikika tena kunako fanihakuwahi kweli kuwa mwimbaji wa Bongo Fleva enzi zake?
Mtafute Dully sykes aka Mr misifa atakua anamjua vizuri dully ndio kamtoa ktk fani.
mmmmhhhhhhh!!!!!!bora umesema, yani mwanamke yule ni mswahili, kichwani zero, she is not decent nkulingana na maongezi yake, for real mimi huwa sisikilizi kipindi chake maana ni aibu tupu ahh
kweli wewe ni Kima mdogo...zile boobs ndo zakupa kiwewe sio??