Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,317
- 11,181
Katika mazungumzo yanayoendelea nchini Misri ili vita visitishwe,Hamas imeweka wazi kuwa hawana mateka 40 kwa vigezo vya Israel inaotakiwa iwasalimishe.
Mateka hao wa mwanzo kati ya mia na kitu iliobaki nao, katika mazungumzo hayo ilitakiwa wawe ni akina mama na watoto,wazee na wagonjwa.
Zamani wakati mazungumzo ya awamu ya pili yakianza mapema mwaka huu,Hamas walishasema wanahitaji vita visitishwe ili waweze kuwatafuta na kuwakushanya mateka wanaohitajika kwani wamesambaa Gaza yote.
Badala ya kusikiliza nasaha hizo Netanyahu akaendelea kuamrisha jeshi lake lidondoshe mabomu mazito ili kuwatafuta mateka hao bila kujali kuwa mabomu hayo hayachagui katika kuua baina ya wapalestina na mateka wa kiyahudi.
Mateka hao wa mwanzo kati ya mia na kitu iliobaki nao, katika mazungumzo hayo ilitakiwa wawe ni akina mama na watoto,wazee na wagonjwa.
Zamani wakati mazungumzo ya awamu ya pili yakianza mapema mwaka huu,Hamas walishasema wanahitaji vita visitishwe ili waweze kuwatafuta na kuwakushanya mateka wanaohitajika kwani wamesambaa Gaza yote.
Badala ya kusikiliza nasaha hizo Netanyahu akaendelea kuamrisha jeshi lake lidondoshe mabomu mazito ili kuwatafuta mateka hao bila kujali kuwa mabomu hayo hayachagui katika kuua baina ya wapalestina na mateka wa kiyahudi.