Halotel (Viettel) yaigomea Serikali ya Tanzania

Katika vitu tulivyofail Africa ni kujiongoza wenyewe, kila unaemuamini anaharibu tu, kuna ka shida huku.

MKUU, kwani shida ni ndogo - ni kubwa sana mkuu! Sasa sijui tatizo ni kutojiamini, mindset, kupenda penda matanuzi na vyeo - inasikitisha sana!

Jaribu kuwasikiliza mikakati yao ya kufufua viwanda sijui kujenga vipya, wanaonekana hawana strategy yoyote viwanda vipi vipewe kipaumbele kwanza - hii in hatari sana, ukiwasikiliza sana unakuwa na wasi wasi kama kuna litakalo tekelezwa kwa ufanisi - majigambo yamezidi mno hata Marshal plan ya kuijenga upya Ulaya baada ya vita vya pili haikuwa hivi - Dk.Magufuli awe makini sana hasa hasa kwa wale ambao wanaonekana wana majibu on their fingertips kuhusu ifufuaji wa viwanda vyetu - utasikia mengi mengine ambayo ni too good to be true which's TRUE, kaeni na Wachina ,WavietNam na Wathailand wasikilizeni walitumia strategy gani katika masuala ya viwanda vidogo na vikubwa.
 
MKUU, kwani shida ni ndogo - ni kubwa sana mkuu! Sasa sijui tatizo ni kutojiamini, mindset, kupenda penda matanuzi na vyeo - inasikitisha sana!

Jaribu kuwasikiliza mikakati yao ya kufufua viwanda sijui kujenga vipya, wanaonekana hawana strategy yoyote viwanda vipi vipewe kipaumbele kwanza - hii in hatari sana, ukiwasikiliza sana unakuwa na wasi wasi kama kuna litakalo tekelezwa kwa ufanisi - majigambo yamezidi mno hata Marshal plan ya kuijenga upya Ulaya baada ya vita vya pili haikuwa hivi - Dk.Magufuli awe makini sana hasa hasa kwa wale ambao wanaonekana wana majibu on their fingertips kuhusu ifufuaji wa viwanda vyetu - utasikia mengi mengine ambayo ni too good to be true which's TRUE, kaeni na Wachina ,WavietNam na Wathailand wasikilizeni walitumia strategy gani katika masuala ya viwanda vidogo na vikubwa.
Umesema vizuri hakuna mipango ya kudumu mtu anachofikiria usiku akiamka anakuja na wazo lake, Huku siasa ndio zinaongoza kila kitu tunataka kumfurahisha kila mtu mwisho tunajikuta hakuna kitu kizuri kilichofanyika serikali inataka kama ni barabara ya lami wapekeke Kigoma km 4,Mtwara wanenge km 5,Tanga wapate km 7, Lindi changalawe ilmradi kila mpiga kura afurahi kidogo, hatufanyi project endelevu kwa kufanya kwa uhakika na vizuri.
 
Haloteli wamesaidia kupunguza tatizo la ajira bongo, acheni kuleta XENOPHOBIA.
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?

nimekupenda bureeee
 
Nafasi za Directors wa kila branch waviet, wakuu wa idara zote kila branch yaani mkuu wa business, asset, finance kwa kila branch ni waviet. Kila kituo /business centre team leader mviet. Na ma vice wamewekwa wabongo lakini hawana maamuzi. Mfano head wa business anaweza kumtuma kazi yoyote vice director hata kwenda kuhesabu minara.



kampunini bado changa....isije yakatokea kama ya zantel.
 
Kama mji umekushinda rudi kijijini kwenu ukalime viazi dogo.
Hiyo si kampuni ya kusambaza maandazi mitaani bana ebo??!!
 
HAWA WAGENI NI CHANZO PIA CHA MAPATO KWA TAIFA.KWANI VIBALI HIVYO HULIPIWA.

Hapa kuna harufu ya makampuni mengine ya simu na mitandao kutengeza fitna ili kuipunguza kasi HALOTEL, hawa jamaa kama wataendelea kuwa hivhivi basi watawaacha mbali sana mitandao mengine. kuna maeneo huko vijijini yalikuwa hayapati kabisa mawasiliano na kibaya zaidi haya makumpuni mengine yalijiweka katika nafasi ya kisiasa zaidi.

Ilifikia wakati wananchi hadi waende kwa mbunge wakalalmike na mbunge anaichukua hiyo kama fursa ya kupiga kampeni kwa wananchi kuwa nimewaletea mnara wa vodacom au airtel au tigo hivyo mkinichagua tena nitawaletea ziwa victoria hadi milangoni kwenu, mkiwa na shida ya maji unafungua mdomo tu yanamwagika yenyewe. Wakati ilitakiwa hawa jamaa wazione hizo fursa za kuweka minara vijijini kabisa ndanindani ambako bibi zetu wanataka kuwasikia wajukuu zao wanaotumbuliwa daileeeeeeeeeeeee huku town.

HALOTEL hata kama wataajiri mizimu au mashetani, ilimradi mashetani hayo yakidhi vigezo vyakuishi nchini na kulipa kilakitu haina shida, tunazotaka ni hudma nzuri sio watanzania wangapi ni madirectors lakini nothing delivered. Kuna mdau hapo kazungumzia TTCL, zaidi ya kupokea na kutuma vifurushi hakuna kingine wanachofanya. wanakula kiyoyozi tu, shirika linakufa.
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?

Ndugu yangu mambo siyo rahisi kama hivyo unavyosema. suala la makampuni yanayowekeza hapa kuajiri watanzania katika nafasi ambazo wanaweza kuzifanya, ni la msingi sana. siyo hilo tu, makampuni yanatakiwa kutumia rasilimali na vifaa vya hapa nchini kadiri inavyowezekana, ili matokeo ya uwekezaji yawe na impact kiuchumi, kwetu sisi. bila kuweka misingi hiyo, utajikuta wewe uliyemkaribisha mwekezaji hufaidiki kwa lolote, na hutaweza kujijengea uwezo wa baadaye kuwa na kampuni yako unayoiendesha kwa mafanikio hata zaidi.

Nakubaliana na wewe kwamba tunayo TTCL na haina mafanikio. sasa nikuulize, hivi watanzania, wakulima na wafanyakazi, walikaa pamoja na wakaamua kuifisidi TTCL? tatizo hapo ni kwamba wajanja wachache wanapoamua kutumia nafasi zao kiufisadi, na mfumo wa utawala ukaruhusu, inakuwa vigumu sana kwa nchi kama nchi kunufaika. lakini wajibu wetu siyo kusema tu kwamba watu wa nje ndio wapewe kila kitu eti kwa sababu viongozi wetu hawawajibiki ipasavyo. jukumu letu ni kuwapigia kelele watawala wetu wawajibike, na pia hayo makampuni ya nje yafuate taratibu tulizojiwekea ambazo ni pamoja na kuajiri watanzania pale inapotakiwa.
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
Well said.

Nimefanya kazi na makampuni ya kigeni maisha yangu yote ndani na nje ya Tanzania.

Makampuni ya kigeni asilimia kubwa hayaangalii hivyo vyeti, yanaangalia ujuzi, unaweza kufanya nini. Achana na hao unasema wana diploma, wapo wengine wana certificates, lakini wana uwezo wa kufanya mambo ambayo Mtanzania mwenye PhD hawezi. Huyu mwenye certificate ataitwa expert maana ana uwezo wa kufanya kitu ambacho wengine hawajui.

Kuna wakati mill iliharibika, mgodi ulisimamisha uzalishaji kwa siku 4, watu walihangaika, gharama ya mabilioni lilipatikana. Fundi South Africa hakupatikana, wa Australia alikuwa likizo Auckland. Kwanza ndege ilikodiwa toka alikokuwa likizo mpaka Australia. Alisafiri mpaka Dar. Dar akakodiwa ndege mpaka mgodini. Pale mgodini management yote, kila mmoja alikuwa anamngojea. Alipofika tu alianza kazi, siku hiyo hiyo usiku uzalishaji ulianza. Huyo fundi ana certificate tu. Sasa utasema huyo siyo expert? Ni expert maana anaimudu kazi yake, anasababisha uzalishaji na faida. Na analipwa zaidi kuzidi some of the managers. He is unique. His uniquiness puts him on top of others.

Tanzanians spend much of your time in corfirming your performance uniquiness.

Fikirieni kwa umakini, haya makampuni ya kigeni, ni makampuni binafsi, ni pesa za watu binafsi. Halafu ufike hapa nchini, kesho yake uanze kujaza nafasi za juu Watanzania, watu ambao huwajui, hujui hata uwezo wao! Kama wamepewa deputy positions basi Halotel wamefanya vizuri sana. Ni wakati sasa wa hao deputies kuonesha uwezo wao kiutendaji.

Makampuni hayaendeshwi kwa vyeti bali kwa uwezo wa kutenda. Mashirika ya umma ya Tanzania yanakufa kwa sababu yanaangalia vyeti. Vyeti havizalishi, vyeti vikusaidie kuzalisha.
 
Kuna siri nzito behind TTCL wale wenzangu na mimi tunaompenda LUWASSA mzee kaiangamiza TTCL ili vodacom anayoimiliki kihisa kwa TZ iwe juu, anayekumbuka kipindi mwandosya waziri wa mawasiliano kulikuwa na simu za TTCL zimeingizwa nchini ( pale kuna siri nzito kwa nini mradi ulikufa ) kwa usalama zaidi naishia hapo ila wenye kujua wanajua hilo
 
Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.

Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali

Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
Mbona mnalialia? Chapeni kazi!
Mashirika kibao yanaongozwa na wabongo na takriban yote yako hoi kama sio mfu.
Leo tusingekuwa tunanunua matairi ya mtumba kama General tire haikuwekwa chini ya Wabongo. Leo tungekuwa hatuvai mitumba kama viwanda vyetu havikuwekwa chini ya Wabongo. Chapeni kazi kwenda mbele, juhudi zenu zitawafanya muonekane.

Acheni kulilia vya kunyonga.
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
 
Back
Top Bottom