Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Utafiti wa ki document unaendelea kufanywa kuthibitisha kuwa Halmashauri ya Kinondoni imekuwa ikitenga 100Million kila mwaka kwa ajili ya kushonea majoho na 95millioni kwa ajili ya Ulinzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.
My take: Imekuwa ni kawaida sana kwa halmashauri kutumia kwa kufuru fedha badala ya kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Kwa hali hii bado Madiwani wengi ni ama hawana uwezo wa kuwawakilisha wananchi kwa standard au hawana uelewa wa kutosha kuchambua vitabu vya budget kikamilifu.
My take: Imekuwa ni kawaida sana kwa halmashauri kutumia kwa kufuru fedha badala ya kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Kwa hali hii bado Madiwani wengi ni ama hawana uwezo wa kuwawakilisha wananchi kwa standard au hawana uelewa wa kutosha kuchambua vitabu vya budget kikamilifu.