Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA.
KAZI ZA UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA Tsh 24,011,700,389.16/=
• Ujenzi wa Barabara ya Oljoro - Murriet kwa kiwango cha Lami (3.2km)
• Barabara ya Njiro (2.5 km)
• Ujenzi wa Barabara ya Krokon kiwango cha Lami (0.64 km)
• Ujenzi wa Barabara ya SOMBETINI - FFU kiwango cha Lami (1.85km)
• Ujenzi wa Barabara za Ngarenaro kiwango cha Lami (4.6km)
• Ukarabati wa Kiwanja cha Mpira S/Msingi Ngarenaro
• Ujenzi wa eneo la kutupa taka dampo la Murriet na uwekaji wa Skip Pads.
• Uwekaji alama Barabarani kuainisha maeneo ya maegesho ya magari
Miradi hii ni ya Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) chini ya World Bank ambayo utekelezaji wake utaanza punde baada ya mvua kumalizika.
OFISI YA MSTAHIKI MEYA
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA
S.L.P 3013
ARUSHA - TANZANIA
KAZI ZA UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA Tsh 24,011,700,389.16/=
• Ujenzi wa Barabara ya Oljoro - Murriet kwa kiwango cha Lami (3.2km)
• Barabara ya Njiro (2.5 km)
• Ujenzi wa Barabara ya Krokon kiwango cha Lami (0.64 km)
• Ujenzi wa Barabara ya SOMBETINI - FFU kiwango cha Lami (1.85km)
• Ujenzi wa Barabara za Ngarenaro kiwango cha Lami (4.6km)
• Ukarabati wa Kiwanja cha Mpira S/Msingi Ngarenaro
• Ujenzi wa eneo la kutupa taka dampo la Murriet na uwekaji wa Skip Pads.
• Uwekaji alama Barabarani kuainisha maeneo ya maegesho ya magari
Miradi hii ni ya Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) chini ya World Bank ambayo utekelezaji wake utaanza punde baada ya mvua kumalizika.
OFISI YA MSTAHIKI MEYA
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA
S.L.P 3013
ARUSHA - TANZANIA