Halima Mdee: Waziri Prof. Tibaijuka sasa onesha uwezo kuwajibika kwa vitendo, si maneno!

Nilifikiri MH H. Mdee ukiwa Mbunge wa moja ya eneo lenye fukwe ungepaswa uwe "part of the solution" katika utekelezaji wa jukumu hilo. lakini kwa taarifa hii unaonekana ni "part of the problem". hivi majukumu ya Mbunge ni nini? mojawapo ambalo haliepukiki ni la kumsaidia Wazili atimize majukumu yake katika jimbo lako na siyo kumkejeli ambako kunaweza kuwapa nguvu wahalifu.

wewe kama Mbunge, kwa upana wake upo ndani ya Serikali inayotawala na unanufaika na kodi za wananchi kama walivyo serikalini

hata hili la Magufuli na ujenzi wa barabara, ni vyema usaidie kuhamasisha wananchi wako wapishe barabarani ili hii miradi iweze kwenda haraka

kushindwa kwa majukumu hayo ya Wizara ya Ardhi na hasa katika eneo lako (ufukwe wa kawe/mbezi) na maeneo mengine nafikiri itakuwa ni moja ya kufeli kwako pia kushindwa kuhamasisha wananchi wako waishi kwa kufuata sheria zilizopo
 
Very pointed and timely statement.

I wonder whether this "TAARIFA KWA UMMA" imewekwa hapa tu JF, au kwenye Facebook ya Mbunge au Michuzi au katuma kwenye gazeti. Ni vema official statements zielekezwe zinakohusika.
 
Magwanda kwa kurukia maamuzi ya chama tawala na kuzifanya ni hoja zao, hawajambo.

Maamuzi na matangazo ayatowe Tibaijuka, wewe uje na kujidai hoja ni yako na kumtaka waziri awajibike. Hivi huna hoja ya maana?
**** so to speak!
 
Jamaa naandika juu ya CCM na uwajibikaji kwa mara ya mwisho, Huyu mama hawezi na ni bomu, CCM ni maneno tu uwajibikaji ni CDM, tusitegemee miuujiza kwa Tibaijuka, hakuna kitu. Hebu fikiria ulanguzi wa viwanja kwani anahitaji miaka kusema neno ukakomeshwa??? Ardhi/viwanja vingeuzwa kwa bei ya serikali full stop; sio unajilimbikizia viwanja tena kiwizi wizi harafu unauza kwa bei ya kufuru kama kwamba ardhi umetengeneza mwenyewe huku ni mali ya watz kwa umoja wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom