KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Mhe.Halima mdee anasema...
Watz wenzangu,mimi na mheshimiwa Bulaya tulikwenda kumuona Lulu O'bay Police.She really needs our support.
Kwanza she is only 17...
Pili anahitaji sana Psychological support.Nawaomba watu wenye taaluma hiyo wasisite kwenda kumuona.Wasiliana na 0714-282527 Steve Nyerere
Tatu anahitaji wanasheria makini wa kumsaidia.Kwa yeyote ambae yuko tayari naomba awasiliane nami 0759-569823..
Nne at that tender age ndio alikua anategemewa na familia.Now yuko ndani matatizo yamezidi kuwa makubwa.
Kwa yeyote anaeguswa,naomba atume chochote kwenye 0754-878890 ni namba ya m pesa ya mama yake,tumsaidie huyu mtoto!
Watz wenzangu,mimi na mheshimiwa Bulaya tulikwenda kumuona Lulu O'bay Police.She really needs our support.
Kwanza she is only 17...
Pili anahitaji sana Psychological support.Nawaomba watu wenye taaluma hiyo wasisite kwenda kumuona.Wasiliana na 0714-282527 Steve Nyerere
Tatu anahitaji wanasheria makini wa kumsaidia.Kwa yeyote ambae yuko tayari naomba awasiliane nami 0759-569823..
Nne at that tender age ndio alikua anategemewa na familia.Now yuko ndani matatizo yamezidi kuwa makubwa.
Kwa yeyote anaeguswa,naomba atume chochote kwenye 0754-878890 ni namba ya m pesa ya mama yake,tumsaidie huyu mtoto!