Hali ya muungano wetu ipo Mashakani!

Joshua Bukuru

Member
Apr 16, 2011
76
95
Ndugu wana-jamiiforums, tukubali au tusikubali hali ya muundo wa muungano tulionao haibebeki tena. Huu muungano wa serikali 2 hauna nafasi tena katika dunia ya utandawazi. Nayesema haya kwa sababu nimewasikiliza wanzibar katika makongamano yao, juu ya elimu ya uraia na jitihada mpya za tume katika kukusanya maoni ya katiba mpya. Wameapa kuwa liwalo na liwe kwa maana kuwa tusipokubali (watanganyika) muundo wa serikali 3 basi na muungano uvunjike. Hizi ni kauli zao. Japokuwa Mwl Nyerere alitahadharisha hili, yeyete atakayekuwa wa kwanza kujitenga, basi upande wa pili utabaki salama.Na nje ya muungano, hatuna zanzibar bali tuna Unguja na Pemba. Na hii inaweza kuwa kwa sababu ya ujinga au ulevi wa madaraka wa viongozi wao. Sasa wameanza na si kwamba kuwa watanganyika nao wanafurahishwa na muundo huu...
Pia nimesoma magazeti kuwa Rais wa Zanzibar Shain naye ameapa kuulinda muungano kwa gharama zote, kisa ni kwamba sera ya CCM ni kulinda muungano na si kuvunja muungano. Kama kweli kasema hivyo basi, mimi najiuliza maswali yafuatayo:?
1. Je, yuko tayari kulinda maslahi ya CCM kuliko ya wananchi wa Zanzibar waliomwanjiri katika nafasi hiyo aliyonayo? Ukweli ni kwamba if they voted for him, they can also devote for him. Haki hiyo wanzanzibar wanayo na asiwapuuze katika maoni yao.
2.Rais Shain hazungumzi auhatamki ni sababu zipi zitamfanya apuuze madai ya wazanzibar ambao ndiyo wengi kuliko hizo sera za CCM zisizobadirika. Kuitwa kiongozi ni kutanguliza maslahi ya watu wako unaowaongoza. Au ni ule woga na fadhila za kutowaudhi viongozi wa Tanganyika waliompa nafasi hiyo ya urais, maana zanzibar imekuwa ikichaguliwa viongozi na CCM-tanganyika.

Sasa basi, tuanze kuwaza serikali 3 au 1 maana 2 haiwezekani tena. Nina wasiwasi hizi serikali 2 zinaweza kutufikisha kwenye serikali sifuri(0). Tukiwa nazo tatu basi na mfumo wa mahakama zetu itabidi ubadilishwe, na hapa chini nimeambatanisha mfumo wa mahakama zetu unavyotakiwa kuonekana. Ni maoni yangu tu na napenda tujadili kama watanzania. Sasa nasema karibuni sana...
 

Attachments

  • Tanzania new court system.pdf
    181 KB · Views: 190
AAh Muungano huu mimi soni faida yake wauvunje tu Mother Tanganyika yetu irudi
 
Joshua,
Wewe ni miongoni mwa watanganyika wachache wenye uelewa hasa wa hapa jamiifurm kuhusu muungano
Nadhani ni baada ya kufuatilia kwakina kinachojiri zenji.
 
Joshua Bukuru, naona unaongea serikali tatu which means kutakuwepo na muungano at some stage. Labda nikuulize, kwanini Zanzibar watake kuungana (hata kwa remote control) na 'mkoloni'?. Uliona wapi mtu anataka mkataba na 'mnyonyaji?
 
Hivi wewe bado unajiuliza juu ya muungano? Tanzania yetu ya amani na mshikamano aliyotuachia Julius Nyerere nayo imo mashakani. Angalia yanayotokea Mbagala. Soma Al Nuur. Sikiliza ile redio ya Morogoro (nimesahau jina lake) Hii ya muungano ni cha mtoto.
 
Joshua Bukuru, naona unaongea serikali tatu which means kutakuwepo na muungano at some stage. Labda nikuulize, kwanini Zanzibar watake kuungana (hata kwa remote control) na 'mkoloni'?. Uliona wapi mtu anataka mkataba na 'mnyonyaji?
MAISHA yangu yote nimeshuhudia aslimi 90 ya nchi zenye migogoro ya kudumu ni zile zenye waislamu wengi. kama watanganyika tunataka amani ya kweli tuachane na wazanzibar ni watu hatari. ni walalamishi,wavivu na wanao penda kusaidiwa sana. angalia somalia,sudani,mali, ivorycoast,chechnia, iraq,afaghanistan, sahara magharibi n.k
 
jamani muungano umebaki wa kichama tu! ccm ikianguaka leo hakuna muungano tena zanzibar imeshakuwa nchi kamili
 
Ndugu wana-jamiiforums, tukubali au tusikubali hali ya muundo wa muungano tulionao haibebeki tena. Huu muungano wa serikali 2 hauna nafasi tena katika dunia ya utandawazi. Nayesema haya kwa sababu nimewasikiliza wanzibar katika makongamano yao, juu ya elimu ya uraia na jitihada mpya za tume katika kukusanya maoni ya katiba mpya. Wameapa kuwa liwalo na liwe kwa maana kuwa tusipokubali (watanganyika) muundo wa serikali 3 basi na muungano uvunjike. Hizi ni kauli zao. Japokuwa Mwl Nyerere alitahadharisha hili, yeyete atakayekuwa wa kwanza kujitenga, basi upande wa pili utabaki salama.Na nje ya muungano, hatuna zanzibar bali tuna Unguja na Pemba. Na hii inaweza kuwa kwa sababu ya ujinga au ulevi wa madaraka wa viongozi wao. Sasa wameanza na si kwamba kuwa watanganyika nao wanafurahishwa na muundo huu...
Pia nimesoma magazeti kuwa Rais wa Zanzibar Shain naye ameapa kuulinda muungano kwa gharama zote, kisa ni kwamba sera ya CCM ni kulinda muungano na si kuvunja muungano. Kama kweli kasema hivyo basi, mimi najiuliza maswali yafuatayo:?
1. Je, yuko tayari kulinda maslahi ya CCM kuliko ya wananchi wa Zanzibar waliomwanjiri katika nafasi hiyo aliyonayo? Ukweli ni kwamba if they voted for him, they can also devote for him. Haki hiyo wanzanzibar wanayo na asiwapuuze katika maoni yao.
2.Rais Shain hazungumzi auhatamki ni sababu zipi zitamfanya apuuze madai ya wazanzibar ambao ndiyo wengi kuliko hizo sera za CCM zisizobadirika. Kuitwa kiongozi ni kutanguliza maslahi ya watu wako unaowaongoza. Au ni ule woga na fadhila za kutowaudhi viongozi wa Tanganyika waliompa nafasi hiyo ya urais, maana zanzibar imekuwa ikichaguliwa viongozi na CCM-tanganyika.

Sasa basi, tuanze kuwaza serikali 3 au 1 maana 2 haiwezekani tena. Nina wasiwasi hizi serikali 2 zinaweza kutufikisha kwenye serikali sifuri(0). Tukiwa nazo tatu basi na mfumo wa mahakama zetu itabidi ubadilishwe, na hapa chini nimeambatanisha mfumo wa mahakama zetu unavyotakiwa kuonekana. Ni maoni yangu tu na napenda tujadili kama watanzania. Sasa nasema karibuni sana...



Kwa Miaka 50 Umeona FAIDA yake zaidi ya kuletewa UBAGUZI na UNYAMA wa Unguja kuja Bara? Sasa Mfano UAMSHO; Wanafundisha Waislamu wa BARA jinsi ya KUBAGUANA kati ya waislamu na wakristo...

WAACHE wa-unguja WAONDOKE kama wanataka kumchukua AZAM na Majengo yake DAR abebe hakuna SHIDA...
 
Joshua Bukuku, uli na mahala fijo nkhamu wangu. Kyala wa kumwanya aye na nungwe amasiku ghosa. Amen.
 
Ni utashi mdogo wa viongozi wa Zanz,na uroho wa madaraka tu. Mi sidhani kama ukimhoji mwananchi mmoja mmoja wa Zanz kuwa anaweza kukupa sababu materialistic za kuvunja Muungano.
 
MAISHA yangu yote nimeshuhudia aslimi 90 ya nchi zenye migogoro ya kudumu ni zile zenye waislamu wengi. kama watanganyika tunataka amani ya kweli tuachane na wazanzibar ni watu hatari. ni walalamishi,wavivu na wanao penda kusaidiwa sana. angalia somalia,sudani,mali, ivorycoast,chechnia, iraq,afaghanistan, sahara magharibi n.k

Hizo ni chuki zako dhidi ya uislam hivi DRC Congo, ruwanda,burundi, seralion, angalo nk je mauwaji yalio tokea ni sababu waislam wengi hizo nchi ulizozitaja nyingi wamepelekewa migogoro na nchi za magharibi
 
Mfumo wa Serekali za majimbo ndo utamaliza mgogoro. Zanzibar liwe jimbo. Kinyume na hapo Dawa yao ni kuwanyang'anya hata hiyo serikali yao ya sasa na tubaki na serikali moja tu
 
MAISHA yangu yote nimeshuhudia aslimi 90 ya nchi zenye migogoro ya kudumu ni zile zenye waislamu wengi. kama watanganyika tunataka amani ya kweli tuachane na wazanzibar ni watu hatari. ni walalamishi,wavivu na wanao penda kusaidiwa sana. angalia somalia,sudani,mali, ivorycoast,chechnia, iraq,afaghanistan, sahara magharibi n.k

Mimi naona ungejaribu kuwa mkweli na sio kuandika unafiki na uwongo. Zanzibar kuendelea kudai haki zake katika Muungano imekuwa kero kwako na kwa mfumo kristo. Hakuna mzanzibari anaetaka kusaidiwa na Tanganyika .
 
Mfumo wa Serekali za majimbo ndo utamaliza mgogoro. Zanzibar liwe jimbo. Kinyume na hapo Dawa yao ni kuwanyang'anya hata hiyo serikali yao ya sasa na tubaki na serikali moja tu

Futa mawazo finyu hayo...Yamemshinda dikteta Nyerere mtayaweza nyie?
 
takashi

Futa mawazo finyu hayo...Yamemshinda dikteta Nyerere mtayaweza nyie?

Mkuu, mi nadhani Nyerere alijua namna ya kuwashughulikia. Ameondoka madarakani akiiacha Tanzania iko kamili na hakuna mgawanyiko. Sasa mgawanyiko unanukia kati ya Zanzibar na Tanganyika, tunao watawala wengine madarakani, yeye Nyerere ameshindwa vipi? Tuache kumsingizia mtu ambaye hayupo. Mimi sioni Nyerere ameshindwa vipi na anaingiaje katika hili. Kwani kelele za nini? Zanzibar wakitaka kuondoka ni ruksa. Nyerere alishawaambia kwamba hiyo ni dhambi na itawaumiza wao. Wanaogopa dhambi aliyowatabiria itawarudi?
 
Ndugu wana-jamiiforums, tukubali au tusikubali hali ya muundo wa muungano tulionao haibebeki tena. Huu muungano wa serikali 2 hauna nafasi tena katika dunia ya utandawazi. Nayesema haya kwa sababu nimewasikiliza wanzibar katika makongamano yao, juu ya elimu ya uraia na jitihada mpya za tume katika kukusanya maoni ya katiba mpya. Wameapa kuwa liwalo na liwe kwa maana kuwa tusipokubali (watanganyika) muundo wa serikali 3 basi na muungano uvunjike. Hizi ni kauli zao. Japokuwa Mwl Nyerere alitahadharisha hili, yeyete atakayekuwa wa kwanza kujitenga, basi upande wa pili utabaki salama.Na nje ya muungano, hatuna zanzibar bali tuna Unguja na Pemba. Na hii inaweza kuwa kwa sababu ya ujinga au ulevi wa madaraka wa viongozi wao. Sasa wameanza na si kwamba kuwa watanganyika nao wanafurahishwa na muundo huu...
Pia nimesoma magazeti kuwa Rais wa Zanzibar Shain naye ameapa kuulinda muungano kwa gharama zote, kisa ni kwamba sera ya CCM ni kulinda muungano na si kuvunja muungano. Kama kweli kasema hivyo basi, mimi najiuliza maswali yafuatayo:?
1. Je, yuko tayari kulinda maslahi ya CCM kuliko ya wananchi wa Zanzibar waliomwanjiri katika nafasi hiyo aliyonayo? Ukweli ni kwamba if they voted for him, they can also devote for him. Haki hiyo wanzanzibar wanayo na asiwapuuze katika maoni yao.
2.Rais Shain hazungumzi auhatamki ni sababu zipi zitamfanya apuuze madai ya wazanzibar ambao ndiyo wengi kuliko hizo sera za CCM zisizobadirika. Kuitwa kiongozi ni kutanguliza maslahi ya watu wako unaowaongoza. Au ni ule woga na fadhila za kutowaudhi viongozi wa Tanganyika waliompa nafasi hiyo ya urais, maana zanzibar imekuwa ikichaguliwa viongozi na CCM-tanganyika.

Sasa basi, tuanze kuwaza serikali 3 au 1 maana 2 haiwezekani tena. Nina wasiwasi hizi serikali 2 zinaweza kutufikisha kwenye serikali sifuri(0). Tukiwa nazo tatu basi na mfumo wa mahakama zetu itabidi ubadilishwe, na hapa chini nimeambatanisha mfumo wa mahakama zetu unavyotakiwa kuonekana. Ni maoni yangu tu na napenda tujadili kama watanzania. Sasa nasema karibuni sana...

Let It Go. We do not need zanzibar any more.
 
Back
Top Bottom