Hali ya kiuchumi ya Tanzania ni nzuri na inatoa matumaini ya baadae

Dec 13, 2018
30
140
HALI YA KIUCHUMI YA TANZANIA NI NZURI NA INATOA MATUMAINI YA BAADAE.

Leo 13:15pm 24/02/2019.

Tanzania inaendelea na mchakato wa kuwa na uwiano mzuri baina ya Sekta ya Kilimo,Sekta ya Viwanda,Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafirishaji wa Anga, bahari na Nchi Kavu.Kilimo kimeanza kuwa na uhusiano na ukuaji wa Viwanda,Viwanda vitahitaji Sana nishati ya Umeme nafuu, na Usafirishaji mzuri na wa haraka,Na sasa Mazao yanayozalishwa yamepata uhakika wa sehemu ya kupelekwa.

Ujenzi wa viwanda utasaidia kila kinachozalishwa kutengenezwa hapa hapa Tanzania na kuuzwa nje na si kupeleka malighafi nje kutengenezwa bidhaa na sisi kwenda kufuata bidhaa hiyo nje ya nchi na kuinunua kwa dola.

Ujenzi wa Viwanda na Uwiano sahihi na sekta ya Kilimo utazalisha bidhaa za kuuza nje,pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa za kutengeneza tuweze kuuza nje.

Changamoto ya gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa hapa Tanzania itamalizwa na Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mto Rufiji (Stigglers Gorge) litalopunguza gharama za Umeme na kutoa Umeme wa Uhakika na kupelekea kushuka kwa gharama za Uzalishaji na kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini,Hii itasaidia Wafanyabiashara kupata unafuu katika Uzalishaji na unafuu huo kupelekea kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Ujenzi wa Standard Gauge utaleta tija katika uchumi wa nchi kurahisisha huduma ya Usafirishaji bidhaa toka kituo kimoja cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji.Soko la bidhaa zetu litatangazwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano na kuvutia wanunuzi toka nje ya nchi ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Ujenzi wa Bwawa la Umeme na upatikanaji Umeme wa Uhakika kwa bei nafuu utasaidia kuendesha Viwanda kwa bei nafuu na uzalishaji mkubwa wa bidhaa na kusambazwa kutoka kituo cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji kwa Treni ya Standard Gauge, mpaka hapo tutaweza kuipandisha thamani pesa yetu ya shillingi.

Ili kuwa na Sarafu imara lazima uwepo uzalishaji mkubwa wa ndani utakaosababisha ukuaji wa haraka wa Sekta ya kuuza bidhaa nje ya Nchi. Si hivyo tu bali inabidi kuzalisha bidhaa nyingi zenye ubora zitakazouzwa kwa thamani zaidi na si kuuza bidhaa ghafi. Kwa hiyo tuna changamoto ya kuzalisha bidhaa za Viwanda zenye ubora utakaohimili ushindani wa soko huria.

-Kwa nini Shilingi yetu inashuka thamani?

-Kushuka kwa thamani ya sarafu yetu ya shilingi,kiuchumi inamaanisha uzalishaji mdogo, hasa ule unaotoa fursa ya kuuza bidhaa nje kwa minajili ya kupata fedha za kigeni.

Kukosekana kwa uzalishaji wa kutosha unaoliingizia taifa fedha za kigeni zinazotosheleza mahitaji ya kiuchumi, husababisha thamani ya shilingi yetu kushuka.

Kitaaluma, ni kwamba sarafu yetu haihitajiki tu kwa ajili ya kuwa nayo, bali watu huihitaji sarafu ya nchi husika kwa sababu wanahitaji kununua bidhaa zinazouzwa na nchi hiyo lakini Sisi Watanzania hatuna bidhaa hizo kwa kuwa hatuna Viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo.

Ingekuwa tofauti kama tungekuwa na Viwanda vingi kama China na kuzalisha bidhaa nyingi na kununuliwa na sisi wenyewe,Nina maana hii kwamba kama nchi haiuzi sana bidhaa zake nje, basi huenda soko la ndani ni kubwa sana kiasi cha kutokuwa na ziada ya kuuza nje na kwa hiyo nchi huagiza bidhaa nyingi za nje ili kukidhi mahitaji ya ndani.Kwa hapa jibu ni hapana,kwa maana hatuna Viwanda na hatuna bidhaa nyingi zinazozalishwa hapa nchini zaidi ya bidhaa za Azam, Asas na Mo.

Uagizaji mkubwa wa bidhaa za nje husababisha nchi kuhitaji zaidi sarafu ya nchi ya kigeni ili kuagiza bidhaa. Hali hii husababisha msukumo mwingi wa sarafu ya nchi kwenye soko la fedha ambayo husababisha kushuka thamani ya sarafu yetu,Kwa sasa Serikali yetu inajenga reli ya Standard Gauge pamoja na kuagiza treni mpya za kiwango hicho cha Standard Gauge,

Kwa sasa Serikali yetu inajenga Bwawa kubwa la Umeme la Stigglers Gauge, na Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima, Uganda hadi Tanga,Tanzania ukiachana na Fly Over, Interchange ya Ubungo, Barabara sita toka Kimara hadi Chalinze, Daraja la Baharini la Surrender,

Utagundua kwa sasa Serikali yetu itaagiza bidhaa nyingi za Ujenzi wa miradi hiyo na tutatumia dolar kuagiza vifaa na bidhaa mbalimbali za Ujenzi, kwa hiyo tulitarajia sarafu yetu kuyumba pengine kwa kukosa uwiano wa kuuza na kununua, lakini kununua kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa.

Kwa matumizi haya ni lazima tutakuwa na hitaji kubwa la dola Sokoni na kuwa na upungufu wa usambazaji wa dola mitaani.

-Mimi tathmini yangu, kwa nini dollar imekosekana:

1.Kutouza Korosho kwa Walanguzi wa nje ya nchi.

2.Biashara ya dhahabu na Tanzanite kusimama kutokana na Wanunuzi wezi kuacha ama kususa kununua.

3.Kukosa baadhi ya misaada ambayo uwa tunapewa kama dollar kwa kutokubali sera za kinyonyaji na kikabaila toka kwa Wazungu.

-Natofautiana kabisa na Zitto Kabwe aliyesema kupigwa risasi Lissu na Sheria Mpya ya vyama vya Siasa vimesababisha kupanda kwa dollar.

Kwa nini Zitto Kabwe ni mwana uchumi na hataji sababu zangu, ni kwa sababu sababu nilizotaja Mimi hitimisho lake lina nia njema kwa Taifa.Zitto Kabwe anajaribu kupandikiza mawazo ya kisiasa ili apate huruma ya Wananchi lakini si sababu za kiuchumi na ukweli utabaki palepale.

1.Tulikataa kuuza korosho nje kwa bei ya kumlalia mkulima halisi na hela kuishia kwa walanguzi pasipo kumsaidia Mkulima halisi.

2.Tumekataa kuuza Dhahabu na Tanzanite kwa kuibiwa na kuwafaidisha makaburu na mabeberu, tulihitaji kuuza dhahabu zitakazo mnufaisha Mwananchi wa Tanzania.

3.Tunao uwezo wa kujitegemea kama hatutoibiwa na wanaotuibia kuja kutupa msaada au mkopo kwa hela waliyotuibia.

Wapo Walionufaika:

i. Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na kadhalika nje ya nchi.
ii. Wanaopokea fedha toka kwa jamaa zao nje (remittances).
iii. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi za bidhaa na huduma kutoka nje (ushuru wa forodha) pamoja na misaada na mikopo kutoka nje.


-Ulinganifu wa Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Mwaka hadi mwaka kumekuwa na ongezeko la uagizaji wa bidhaa za nje huku kukiwa na ongezeko dogo sana la bidhaa tunazouza nchi za nje.

Kadhalika, kila mwaka mpanuko kati ya sekta ya kuuza nje na sekta ya kununua nje huzidi kuwa mkubwa hasa kwa kusababishwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

-Matarajio na hatua za Kuchukua.

Suluhisho ni ujenzi wa Viwanda ambavyo Vitazalisha bidhaa za kuuza nje, pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa ya kutengeneza tuweze kuuza nje ya nchi.

Tuinahitaji kufanya mengi sisi wananchi, mfano watu wanaenda kununua Vitenge Kongo na Parachichi uko Burundi,yaani sisi hatuna tunachozalisha kabisa.

Changamoto kubwa iliyopo ni gharama za uzalishaji bidhaa ikizalishwa hapa gharama zake ni kubwa Sana hivyo kupelekea kuwa na high priced products na mfanyabiashara siku zote anaangalia unafuu wa bei na ndio maana kuliko kuzalisha hapa nchini, basi ni bora waende kununua China, hili litamalizwa na Ukamilikaji wa Bwawa la Umeme la Rufiji ambalo litapunguza bei ya Umeme.

Tunacho takiwa kufanya..

1. Serikali iwe slight fair katika maswala ya kodi kwa wawekezaji wa ndani.

2. Umeme wa uhakika na gharama nafuu..

3. Ukuaji wa technology na wataalam wakee.

Kwa sababu ndio tuko mwanzo wa safari nina imani huko mbeleni tutakuwa vizuri, Roma haikujengwa kwa siku moja.

Sera ya Tanzania ya Viwanda ni sera bora kabisa kwa Uimara wa Sarafu yetu na Uchumi bora wa Nchi yetu. Ni ajenda bora kumaliza utata wa fedha yetu kushuka thamani.Hii imekwenda sambamba na Ujenzi wa Bwawa la Umeme litalotoa Umeme nafuu na wa uhakika, pamoja na ukamilikaji wa Sekta ya Usafiri Standard Gauge, Ununuzi wa Ndege na Upanuzi wa Bandari zetu pamoja na kununuliwa kwa meli kubwa za Watu na mizigo.

Mh Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana akiwaza suluhisho la muda mrefu na kwa hakika nia yake ya kuwekeza katika miradi kama wa Bwawa la Umeme la Rufiji ni utatuzi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu muda mchache ujao.

Kama tungekuwa na Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji toka enzi za Mkapa, tusinge kodi wale Net Solution na kama tungekuwa na Sera nzuri katika Madini yetu kule Buzwagi, GGM,North Mara, Bulyankhulu, Almasi ,Williamson Diamond pale Shinyanga na Tanzanite kule Arusha hivi leo tusikutana na kadhia ya kupanda kwa dollar kwa kuwa tayari tungekuwa na akiba hata ya kuweza kuzitupa dollar baharini au kuziingiza mtaani kama njugu na kuishusha thamani pesa hiyo ya dollar hata Mmarekani angeomba poo.

Bado tuna uwezo wa kupata fedha za kigeni za kutosha kutoka kwenye Madini ambayo ni non-organic,na
Mafuta na Gas ambavyo ni organic:-

1. Dhahabu
2. Almasi
3. Gesi
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite

1.Dhahabu-Geita,Kahama na Morogoro.

2.Almas-Mwadui,Shinyanga.

3.Gesi-Zanzibar,deep sea,na Mtwara.

4.Uranium-Ulanga, Morogoro,Rudewa,baadh ya sehemu Songea,Mkoani Ruvuma.

5.Mafuta-Lindi,Mtwara,bonde la Rufiji na Mkuranga na Sehemu za Ifakara,Mkoani Morogoro, na Deep Sea.

6.Makaa ya Mawe, Ludewa.

7.Tanzanite- Mererani, Arusha.

Sekta ya Utalii iliyonogeshwa na Usafiri wa mojamoja kwa moja kwa Watalii toka Asia, Amerika na Ulaya utatuingizia fedha ya kigeni ya kutosha katika mwaka huu wa 2019 na kurudisha uwiano wa kuuza nje na kununua nje na kuishusha dolar kwa kuwa itapatikana kwa wingi kwenye mzunguko na hivyo kuipandisha thamani sarafu yetu ya Shilingi.

Hadi Mwalimu Nyerere anaachia madaraka thamani ya shilingi dhidi ya dola ilikuwa Tsh150, Mzee Mwinyi akachukua kijiti hadi Tsh 500, Rais Mkapa kachukua kijiti na kufikisha Tsh1200, Rais Kikwete Tsh 2,100.Toka mwaka 2015 hadi sasa 2019 Mh Rais Magufuli kafika 2,400 ,Je Mh Rais Magufuli ataishusha au ataendelea kuipandisha dola?

Nimalizie kwa kusema tangu tupate uhuru hakuna jitihada za Rais aliyefanikiwa kudhibiti thamani ya shilingi dhidi ya dola! na pengine Rais Magufuli akafanikiwa kuidhibiti dola kwa kuweka Uwiano sawia baina ya Sekta ya Kilimo, Sekta ya Viwanda, Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafiri na kupelekea kuinua thamani ya sarafu yetu ya Shilingi kwa kuweka uwiano katika uhitaji na upatikanaji na uimara wa kuuza na kuingiza pesa ya kigeni. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu, John Magufuli,Mungu ibariki Serikali yake.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854.
 
HALI YA KIUCHUMI YA TANZANIA NI NZURI NA INATOA MATUMAINI YA BAADAE.

Leo 13:15pm 24/02/2019.

Tanzania inaendelea na mchakato wa kuwa na uwiano mzuri baina ya Sekta ya Kilimo,Sekta ya Viwanda,Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafirishaji wa Anga, bahari na Nchi Kavu.Kilimo kimeanza kuwa na uhusiano na ukuaji wa Viwanda,Viwanda vitahitaji Sana nishati ya Umeme nafuu, na Usafirishaji mzuri na wa haraka,Na sasa Mazao yanayozalishwa yamepata uhakika wa sehemu ya kupelekwa.

Ujenzi wa viwanda utasaidia kila kinachozalishwa kutengenezwa hapa hapa Tanzania na kuuzwa nje na si kupeleka malighafi nje kutengenezwa bidhaa na sisi kwenda kufuata bidhaa hiyo nje ya nchi na kuinunua kwa dola.

Ujenzi wa Viwanda na Uwiano sahihi na sekta ya Kilimo utazalisha bidhaa za kuuza nje,pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa za kutengeneza tuweze kuuza nje.

Changamoto ya gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa hapa Tanzania itamalizwa na Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mto Rufiji (Stigglers Gorge) litalopunguza gharama za Umeme na kutoa Umeme wa Uhakika na kupelekea kushuka kwa gharama za Uzalishaji na kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini,Hii itasaidia Wafanyabiashara kupata unafuu katika Uzalishaji na unafuu huo kupelekea kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Ujenzi wa Standard Gauge utaleta tija katika uchumi wa nchi kurahisisha huduma ya Usafirishaji bidhaa toka kituo kimoja cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji.Soko la bidhaa zetu litatangazwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano na kuvutia wanunuzi toka nje ya nchi ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Ujenzi wa Bwawa la Umeme na upatikanaji Umeme wa Uhakika kwa bei nafuu utasaidia kuendesha Viwanda kwa bei nafuu na uzalishaji mkubwa wa bidhaa na kusambazwa kutoka kituo cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji kwa Treni ya Standard Gauge, mpaka hapo tutaweza kuipandisha thamani pesa yetu ya shillingi.

Ili kuwa na Sarafu imara lazima uwepo uzalishaji mkubwa wa ndani utakaosababisha ukuaji wa haraka wa Sekta ya kuuza bidhaa nje ya Nchi. Si hivyo tu bali inabidi kuzalisha bidhaa nyingi zenye ubora zitakazouzwa kwa thamani zaidi na si kuuza bidhaa ghafi. Kwa hiyo tuna changamoto ya kuzalisha bidhaa za Viwanda zenye ubora utakaohimili ushindani wa soko huria.

-Kwa nini Shilingi yetu inashuka thamani?

-Kushuka kwa thamani ya sarafu yetu ya shilingi,kiuchumi inamaanisha uzalishaji mdogo, hasa ule unaotoa fursa ya kuuza bidhaa nje kwa minajili ya kupata fedha za kigeni.

Kukosekana kwa uzalishaji wa kutosha unaoliingizia taifa fedha za kigeni zinazotosheleza mahitaji ya kiuchumi, husababisha thamani ya shilingi yetu kushuka.

Kitaaluma, ni kwamba sarafu yetu haihitajiki tu kwa ajili ya kuwa nayo, bali watu huihitaji sarafu ya nchi husika kwa sababu wanahitaji kununua bidhaa zinazouzwa na nchi hiyo lakini Sisi Watanzania hatuna bidhaa hizo kwa kuwa hatuna Viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo.

Ingekuwa tofauti kama tungekuwa na Viwanda vingi kama China na kuzalisha bidhaa nyingi na kununuliwa na sisi wenyewe,Nina maana hii kwamba kama nchi haiuzi sana bidhaa zake nje, basi huenda soko la ndani ni kubwa sana kiasi cha kutokuwa na ziada ya kuuza nje na kwa hiyo nchi huagiza bidhaa nyingi za nje ili kukidhi mahitaji ya ndani.Kwa hapa jibu ni hapana,kwa maana hatuna Viwanda na hatuna bidhaa nyingi zinazozalishwa hapa nchini zaidi ya bidhaa za Azam, Asas na Mo.

Uagizaji mkubwa wa bidhaa za nje husababisha nchi kuhitaji zaidi sarafu ya nchi ya kigeni ili kuagiza bidhaa. Hali hii husababisha msukumo mwingi wa sarafu ya nchi kwenye soko la fedha ambayo husababisha kushuka thamani ya sarafu yetu,Kwa sasa Serikali yetu inajenga reli ya Standard Gauge pamoja na kuagiza treni mpya za kiwango hicho cha Standard Gauge,

Kwa sasa Serikali yetu inajenga Bwawa kubwa la Umeme la Stigglers Gauge, na Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima, Uganda hadi Tanga,Tanzania ukiachana na Fly Over, Interchange ya Ubungo, Barabara sita toka Kimara hadi Chalinze, Daraja la Baharini la Surrender,

Utagundua kwa sasa Serikali yetu itaagiza bidhaa nyingi za Ujenzi wa miradi hiyo na tutatumia dolar kuagiza vifaa na bidhaa mbalimbali za Ujenzi, kwa hiyo tulitarajia sarafu yetu kuyumba pengine kwa kukosa uwiano wa kuuza na kununua, lakini kununua kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa.

Kwa matumizi haya ni lazima tutakuwa na hitaji kubwa la dola Sokoni na kuwa na upungufu wa usambazaji wa dola mitaani.

-Mimi tathmini yangu, kwa nini dollar imekosekana:

1.Kutouza Korosho kwa Walanguzi wa nje ya nchi.

2.Biashara ya dhahabu na Tanzanite kusimama kutokana na Wanunuzi wezi kuacha ama kususa kununua.

3.Kukosa baadhi ya misaada ambayo uwa tunapewa kama dollar kwa kutokubali sera za kinyonyaji na kikabaila toka kwa Wazungu.

-Natofautiana kabisa na Zitto Kabwe aliyesema kupigwa risasi Lissu na Sheria Mpya ya vyama vya Siasa vimesababisha kupanda kwa dollar.

Kwa nini Zitto Kabwe ni mwana uchumi na hataji sababu zangu, ni kwa sababu sababu nilizotaja Mimi hitimisho lake lina nia njema kwa Taifa.Zitto Kabwe anajaribu kupandikiza mawazo ya kisiasa ili apate huruma ya Wananchi lakini si sababu za kiuchumi na ukweli utabaki palepale.

1.Tulikataa kuuza korosho nje kwa bei ya kumlalia mkulima halisi na hela kuishia kwa walanguzi pasipo kumsaidia Mkulima halisi.

2.Tumekataa kuuza Dhahabu na Tanzanite kwa kuibiwa na kuwafaidisha makaburu na mabeberu, tulihitaji kuuza dhahabu zitakazo mnufaisha Mwananchi wa Tanzania.

3.Tunao uwezo wa kujitegemea kama hatutoibiwa na wanaotuibia kuja kutupa msaada au mkopo kwa hela waliyotuibia.

Wapo Walionufaika:

i. Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na kadhalika nje ya nchi.
ii. Wanaopokea fedha toka kwa jamaa zao nje (remittances).
iii. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi za bidhaa na huduma kutoka nje (ushuru wa forodha) pamoja na misaada na mikopo kutoka nje.


-Ulinganifu wa Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Mwaka hadi mwaka kumekuwa na ongezeko la uagizaji wa bidhaa za nje huku kukiwa na ongezeko dogo sana la bidhaa tunazouza nchi za nje.

Kadhalika, kila mwaka mpanuko kati ya sekta ya kuuza nje na sekta ya kununua nje huzidi kuwa mkubwa hasa kwa kusababishwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

-Matarajio na hatua za Kuchukua.

Suluhisho ni ujenzi wa Viwanda ambavyo Vitazalisha bidhaa za kuuza nje, pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa ya kutengeneza tuweze kuuza nje ya nchi.

Tuinahitaji kufanya mengi sisi wananchi, mfano watu wanaenda kununua Vitenge Kongo na Parachichi uko Burundi,yaani sisi hatuna tunachozalisha kabisa.

Changamoto kubwa iliyopo ni gharama za uzalishaji bidhaa ikizalishwa hapa gharama zake ni kubwa Sana hivyo kupelekea kuwa na high priced products na mfanyabiashara siku zote anaangalia unafuu wa bei na ndio maana kuliko kuzalisha hapa nchini, basi ni bora waende kununua China, hili litamalizwa na Ukamilikaji wa Bwawa la Umeme la Rufiji ambalo litapunguza bei ya Umeme.

Tunacho takiwa kufanya..

1. Serikali iwe slight fair katika maswala ya kodi kwa wawekezaji wa ndani.

2. Umeme wa uhakika na gharama nafuu..

3. Ukuaji wa technology na wataalam wakee.

Kwa sababu ndio tuko mwanzo wa safari nina imani huko mbeleni tutakuwa vizuri, Roma haikujengwa kwa siku moja.

Sera ya Tanzania ya Viwanda ni sera bora kabisa kwa Uimara wa Sarafu yetu na Uchumi bora wa Nchi yetu. Ni ajenda bora kumaliza utata wa fedha yetu kushuka thamani.Hii imekwenda sambamba na Ujenzi wa Bwawa la Umeme litalotoa Umeme nafuu na wa uhakika, pamoja na ukamilikaji wa Sekta ya Usafiri Standard Gauge, Ununuzi wa Ndege na Upanuzi wa Bandari zetu pamoja na kununuliwa kwa meli kubwa za Watu na mizigo.

Mh Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana akiwaza suluhisho la muda mrefu na kwa hakika nia yake ya kuwekeza katika miradi kama wa Bwawa la Umeme la Rufiji ni utatuzi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu muda mchache ujao.

Kama tungekuwa na Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji toka enzi za Mkapa, tusinge kodi wale Net Solution na kama tungekuwa na Sera nzuri katika Madini yetu kule Buzwagi, GGM,North Mara, Bulyankhulu, Almasi ,Williamson Diamond pale Shinyanga na Tanzanite kule Arusha hivi leo tusikutana na kadhia ya kupanda kwa dollar kwa kuwa tayari tungekuwa na akiba hata ya kuweza kuzitupa dollar baharini au kuziingiza mtaani kama njugu na kuishusha thamani pesa hiyo ya dollar hata Mmarekani angeomba poo.

Bado tuna uwezo wa kupata fedha za kigeni za kutosha kutoka kwenye Madini ambayo ni non-organic,na
Mafuta na Gas ambavyo ni organic:-

1. Dhahabu
2. Almasi
3. Gesi
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite

1.Dhahabu-Geita,Kahama na Morogoro.

2.Almas-Mwadui,Shinyanga.

3.Gesi-Zanzibar,deep sea,na Mtwara.

4.Uranium-Ulanga, Morogoro,Rudewa,baadh ya sehemu Songea,Mkoani Ruvuma.

5.Mafuta-Lindi,Mtwara,bonde la Rufiji na Mkuranga na Sehemu za Ifakara,Mkoani Morogoro, na Deep Sea.

6.Makaa ya Mawe, Ludewa.

7.Tanzanite- Mererani, Arusha.

Sekta ya Utalii iliyonogeshwa na Usafiri wa mojamoja kwa moja kwa Watalii toka Asia, Amerika na Ulaya utatuingizia fedha ya kigeni ya kutosha katika mwaka huu wa 2019 na kurudisha uwiano wa kuuza nje na kununua nje na kuishusha dolar kwa kuwa itapatikana kwa wingi kwenye mzunguko na hivyo kuipandisha thamani sarafu yetu ya Shilingi.

Hadi Mwalimu Nyerere anaachia madaraka thamani ya shilingi dhidi ya dola ilikuwa Tsh150, Mzee Mwinyi akachukua kijiti hadi Tsh 500, Rais Mkapa kachukua kijiti na kufikisha Tsh1200, Rais Kikwete Tsh 2,100.Toka mwaka 2015 hadi sasa 2019 Mh Rais Magufuli kafika 2,400 ,Je Mh Rais Magufuli ataishusha au ataendelea kuipandisha dola?

Nimalizie kwa kusema tangu tupate uhuru hakuna jitihada za Rais aliyefanikiwa kudhibiti thamani ya shilingi dhidi ya dola! na pengine Rais Magufuli akafanikiwa kuidhibiti dola kwa kuweka Uwiano sawia baina ya Sekta ya Kilimo, Sekta ya Viwanda, Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafiri na kupelekea kuinua thamani ya sarafu yetu ya Shilingi kwa kuweka uwiano katika uhitaji na upatikanaji na uimara wa kuuza na kuingiza pesa ya kigeni. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu, John Magufuli,Mungu ibariki Serikali yake.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854.
Kama una familia wakusanye alafu wasomee huu uzi wakö, usipo tukanwa au kurūshiwa mawe basi shukuru Munğu şana
 
Watu wavivu kama nyie msiotaka kufanya Kazi na kushabikia siasa ili mtoke kimaisha ndo mnao bomoa ili taiga.
HALI YA KIUCHUMI YA TANZANIA NI NZURI NA INATOA MATUMAINI YA BAADAE.

Leo 13:15pm 24/02/2019.

Tanzania inaendelea na mchakato wa kuwa na uwiano mzuri baina ya Sekta ya Kilimo,Sekta ya Viwanda,Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafirishaji wa Anga, bahari na Nchi Kavu.Kilimo kimeanza kuwa na uhusiano na ukuaji wa Viwanda,Viwanda vitahitaji Sana nishati ya Umeme nafuu, na Usafirishaji mzuri na wa haraka,Na sasa Mazao yanayozalishwa yamepata uhakika wa sehemu ya kupelekwa.

Ujenzi wa viwanda utasaidia kila kinachozalishwa kutengenezwa hapa hapa Tanzania na kuuzwa nje na si kupeleka malighafi nje kutengenezwa bidhaa na sisi kwenda kufuata bidhaa hiyo nje ya nchi na kuinunua kwa dola.

Ujenzi wa Viwanda na Uwiano sahihi na sekta ya Kilimo utazalisha bidhaa za kuuza nje,pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa za kutengeneza tuweze kuuza nje.

Changamoto ya gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa hapa Tanzania itamalizwa na Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mto Rufiji (Stigglers Gorge) litalopunguza gharama za Umeme na kutoa Umeme wa Uhakika na kupelekea kushuka kwa gharama za Uzalishaji na kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini,Hii itasaidia Wafanyabiashara kupata unafuu katika Uzalishaji na unafuu huo kupelekea kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Ujenzi wa Standard Gauge utaleta tija katika uchumi wa nchi kurahisisha huduma ya Usafirishaji bidhaa toka kituo kimoja cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji.Soko la bidhaa zetu litatangazwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano na kuvutia wanunuzi toka nje ya nchi ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Ujenzi wa Bwawa la Umeme na upatikanaji Umeme wa Uhakika kwa bei nafuu utasaidia kuendesha Viwanda kwa bei nafuu na uzalishaji mkubwa wa bidhaa na kusambazwa kutoka kituo cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji kwa Treni ya Standard Gauge, mpaka hapo tutaweza kuipandisha thamani pesa yetu ya shillingi.

Ili kuwa na Sarafu imara lazima uwepo uzalishaji mkubwa wa ndani utakaosababisha ukuaji wa haraka wa Sekta ya kuuza bidhaa nje ya Nchi. Si hivyo tu bali inabidi kuzalisha bidhaa nyingi zenye ubora zitakazouzwa kwa thamani zaidi na si kuuza bidhaa ghafi. Kwa hiyo tuna changamoto ya kuzalisha bidhaa za Viwanda zenye ubora utakaohimili ushindani wa soko huria.

-Kwa nini Shilingi yetu inashuka thamani?

-Kushuka kwa thamani ya sarafu yetu ya shilingi,kiuchumi inamaanisha uzalishaji mdogo, hasa ule unaotoa fursa ya kuuza bidhaa nje kwa minajili ya kupata fedha za kigeni.

Kukosekana kwa uzalishaji wa kutosha unaoliingizia taifa fedha za kigeni zinazotosheleza mahitaji ya kiuchumi, husababisha thamani ya shilingi yetu kushuka.

Kitaaluma, ni kwamba sarafu yetu haihitajiki tu kwa ajili ya kuwa nayo, bali watu huihitaji sarafu ya nchi husika kwa sababu wanahitaji kununua bidhaa zinazouzwa na nchi hiyo lakini Sisi Watanzania hatuna bidhaa hizo kwa kuwa hatuna Viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo.

Ingekuwa tofauti kama tungekuwa na Viwanda vingi kama China na kuzalisha bidhaa nyingi na kununuliwa na sisi wenyewe,Nina maana hii kwamba kama nchi haiuzi sana bidhaa zake nje, basi huenda soko la ndani ni kubwa sana kiasi cha kutokuwa na ziada ya kuuza nje na kwa hiyo nchi huagiza bidhaa nyingi za nje ili kukidhi mahitaji ya ndani.Kwa hapa jibu ni hapana,kwa maana hatuna Viwanda na hatuna bidhaa nyingi zinazozalishwa hapa nchini zaidi ya bidhaa za Azam, Asas na Mo.

Uagizaji mkubwa wa bidhaa za nje husababisha nchi kuhitaji zaidi sarafu ya nchi ya kigeni ili kuagiza bidhaa. Hali hii husababisha msukumo mwingi wa sarafu ya nchi kwenye soko la fedha ambayo husababisha kushuka thamani ya sarafu yetu,Kwa sasa Serikali yetu inajenga reli ya Standard Gauge pamoja na kuagiza treni mpya za kiwango hicho cha Standard Gauge,

Kwa sasa Serikali yetu inajenga Bwawa kubwa la Umeme la Stigglers Gauge, na Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima, Uganda hadi Tanga,Tanzania ukiachana na Fly Over, Interchange ya Ubungo, Barabara sita toka Kimara hadi Chalinze, Daraja la Baharini la Surrender,

Utagundua kwa sasa Serikali yetu itaagiza bidhaa nyingi za Ujenzi wa miradi hiyo na tutatumia dolar kuagiza vifaa na bidhaa mbalimbali za Ujenzi, kwa hiyo tulitarajia sarafu yetu kuyumba pengine kwa kukosa uwiano wa kuuza na kununua, lakini kununua kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa.

Kwa matumizi haya ni lazima tutakuwa na hitaji kubwa la dola Sokoni na kuwa na upungufu wa usambazaji wa dola mitaani.

-Mimi tathmini yangu, kwa nini dollar imekosekana:

1.Kutouza Korosho kwa Walanguzi wa nje ya nchi.

2.Biashara ya dhahabu na Tanzanite kusimama kutokana na Wanunuzi wezi kuacha ama kususa kununua.

3.Kukosa baadhi ya misaada ambayo uwa tunapewa kama dollar kwa kutokubali sera za kinyonyaji na kikabaila toka kwa Wazungu.

-Natofautiana kabisa na Zitto Kabwe aliyesema kupigwa risasi Lissu na Sheria Mpya ya vyama vya Siasa vimesababisha kupanda kwa dollar.

Kwa nini Zitto Kabwe ni mwana uchumi na hataji sababu zangu, ni kwa sababu sababu nilizotaja Mimi hitimisho lake lina nia njema kwa Taifa.Zitto Kabwe anajaribu kupandikiza mawazo ya kisiasa ili apate huruma ya Wananchi lakini si sababu za kiuchumi na ukweli utabaki palepale.

1.Tulikataa kuuza korosho nje kwa bei ya kumlalia mkulima halisi na hela kuishia kwa walanguzi pasipo kumsaidia Mkulima halisi.

2.Tumekataa kuuza Dhahabu na Tanzanite kwa kuibiwa na kuwafaidisha makaburu na mabeberu, tulihitaji kuuza dhahabu zitakazo mnufaisha Mwananchi wa Tanzania.

3.Tunao uwezo wa kujitegemea kama hatutoibiwa na wanaotuibia kuja kutupa msaada au mkopo kwa hela waliyotuibia.

Wapo Walionufaika:

i. Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na kadhalika nje ya nchi.
ii. Wanaopokea fedha toka kwa jamaa zao nje (remittances).
iii. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi za bidhaa na huduma kutoka nje (ushuru wa forodha) pamoja na misaada na mikopo kutoka nje.


-Ulinganifu wa Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Mwaka hadi mwaka kumekuwa na ongezeko la uagizaji wa bidhaa za nje huku kukiwa na ongezeko dogo sana la bidhaa tunazouza nchi za nje.

Kadhalika, kila mwaka mpanuko kati ya sekta ya kuuza nje na sekta ya kununua nje huzidi kuwa mkubwa hasa kwa kusababishwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

-Matarajio na hatua za Kuchukua.

Suluhisho ni ujenzi wa Viwanda ambavyo Vitazalisha bidhaa za kuuza nje, pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa ya kutengeneza tuweze kuuza nje ya nchi.

Tuinahitaji kufanya mengi sisi wananchi, mfano watu wanaenda kununua Vitenge Kongo na Parachichi uko Burundi,yaani sisi hatuna tunachozalisha kabisa.

Changamoto kubwa iliyopo ni gharama za uzalishaji bidhaa ikizalishwa hapa gharama zake ni kubwa Sana hivyo kupelekea kuwa na high priced products na mfanyabiashara siku zote anaangalia unafuu wa bei na ndio maana kuliko kuzalisha hapa nchini, basi ni bora waende kununua China, hili litamalizwa na Ukamilikaji wa Bwawa la Umeme la Rufiji ambalo litapunguza bei ya Umeme.

Tunacho takiwa kufanya..

1. Serikali iwe slight fair katika maswala ya kodi kwa wawekezaji wa ndani.

2. Umeme wa uhakika na gharama nafuu..

3. Ukuaji wa technology na wataalam wakee.

Kwa sababu ndio tuko mwanzo wa safari nina imani huko mbeleni tutakuwa vizuri, Roma haikujengwa kwa siku moja.

Sera ya Tanzania ya Viwanda ni sera bora kabisa kwa Uimara wa Sarafu yetu na Uchumi bora wa Nchi yetu. Ni ajenda bora kumaliza utata wa fedha yetu kushuka thamani.Hii imekwenda sambamba na Ujenzi wa Bwawa la Umeme litalotoa Umeme nafuu na wa uhakika, pamoja na ukamilikaji wa Sekta ya Usafiri Standard Gauge, Ununuzi wa Ndege na Upanuzi wa Bandari zetu pamoja na kununuliwa kwa meli kubwa za Watu na mizigo.

Mh Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana akiwaza suluhisho la muda mrefu na kwa hakika nia yake ya kuwekeza katika miradi kama wa Bwawa la Umeme la Rufiji ni utatuzi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu muda mchache ujao.

Kama tungekuwa na Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji toka enzi za Mkapa, tusinge kodi wale Net Solution na kama tungekuwa na Sera nzuri katika Madini yetu kule Buzwagi, GGM,North Mara, Bulyankhulu, Almasi ,Williamson Diamond pale Shinyanga na Tanzanite kule Arusha hivi leo tusikutana na kadhia ya kupanda kwa dollar kwa kuwa tayari tungekuwa na akiba hata ya kuweza kuzitupa dollar baharini au kuziingiza mtaani kama njugu na kuishusha thamani pesa hiyo ya dollar hata Mmarekani angeomba poo.

Bado tuna uwezo wa kupata fedha za kigeni za kutosha kutoka kwenye Madini ambayo ni non-organic,na
Mafuta na Gas ambavyo ni organic:-

1. Dhahabu
2. Almasi
3. Gesi
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite

1.Dhahabu-Geita,Kahama na Morogoro.

2.Almas-Mwadui,Shinyanga.

3.Gesi-Zanzibar,deep sea,na Mtwara.

4.Uranium-Ulanga, Morogoro,Rudewa,baadh ya sehemu Songea,Mkoani Ruvuma.

5.Mafuta-Lindi,Mtwara,bonde la Rufiji na Mkuranga na Sehemu za Ifakara,Mkoani Morogoro, na Deep Sea.

6.Makaa ya Mawe, Ludewa.

7.Tanzanite- Mererani, Arusha.

Sekta ya Utalii iliyonogeshwa na Usafiri wa mojamoja kwa moja kwa Watalii toka Asia, Amerika na Ulaya utatuingizia fedha ya kigeni ya kutosha katika mwaka huu wa 2019 na kurudisha uwiano wa kuuza nje na kununua nje na kuishusha dolar kwa kuwa itapatikana kwa wingi kwenye mzunguko na hivyo kuipandisha thamani sarafu yetu ya Shilingi.

Hadi Mwalimu Nyerere anaachia madaraka thamani ya shilingi dhidi ya dola ilikuwa Tsh150, Mzee Mwinyi akachukua kijiti hadi Tsh 500, Rais Mkapa kachukua kijiti na kufikisha Tsh1200, Rais Kikwete Tsh 2,100.Toka mwaka 2015 hadi sasa 2019 Mh Rais Magufuli kafika 2,400 ,Je Mh Rais Magufuli ataishusha au ataendelea kuipandisha dola?

Nimalizie kwa kusema tangu tupate uhuru hakuna jitihada za Rais aliyefanikiwa kudhibiti thamani ya shilingi dhidi ya dola! na pengine Rais Magufuli akafanikiwa kuidhibiti dola kwa kuweka Uwiano sawia baina ya Sekta ya Kilimo, Sekta ya Viwanda, Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafiri na kupelekea kuinua thamani ya sarafu yetu ya Shilingi kwa kuweka uwiano katika uhitaji na upatikanaji na uimara wa kuuza na kuingiza pesa ya kigeni. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu, John Magufuli,Mungu ibariki Serikali yake.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine usiandike upuuzi mrefu kiasi hiki ili tu kumsifia mtu. Ungeweza andika mstari mmoja ama miwili (kama wenzako kina Jingalao, Magonjwa e.t.c) ingetosha kabisa. Pia mambo ya uchumi hayaandikwi hovyo hovyo kama ulivyojaribu kuandika hapo juu. Otherwise at least naona umekumbuka kuacha namba ya simu... nakutakia uteuzi mwema, kama utaupata.

Jumapili njema.
 
HALI YA KIUCHUMI YA TANZANIA NI NZURI NA INATOA MATUMAINI YA BAADAE.

Leo 13:15pm 24/02/2019.

Tanzania inaendelea na mchakato wa kuwa na uwiano mzuri baina ya Sekta ya Kilimo,Sekta ya Viwanda,Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafirishaji wa Anga, bahari na Nchi Kavu.Kilimo kimeanza kuwa na uhusiano na ukuaji wa Viwanda,Viwanda vitahitaji Sana nishati ya Umeme nafuu, na Usafirishaji mzuri na wa haraka,Na sasa Mazao yanayozalishwa yamepata uhakika wa sehemu ya kupelekwa.

Ujenzi wa viwanda utasaidia kila kinachozalishwa kutengenezwa hapa hapa Tanzania na kuuzwa nje na si kupeleka malighafi nje kutengenezwa bidhaa na sisi kwenda kufuata bidhaa hiyo nje ya nchi na kuinunua kwa dola.

Ujenzi wa Viwanda na Uwiano sahihi na sekta ya Kilimo utazalisha bidhaa za kuuza nje,pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa za kutengeneza tuweze kuuza nje.

Changamoto ya gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa hapa Tanzania itamalizwa na Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mto Rufiji (Stigglers Gorge) litalopunguza gharama za Umeme na kutoa Umeme wa Uhakika na kupelekea kushuka kwa gharama za Uzalishaji na kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini,Hii itasaidia Wafanyabiashara kupata unafuu katika Uzalishaji na unafuu huo kupelekea kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Ujenzi wa Standard Gauge utaleta tija katika uchumi wa nchi kurahisisha huduma ya Usafirishaji bidhaa toka kituo kimoja cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji.Soko la bidhaa zetu litatangazwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano na kuvutia wanunuzi toka nje ya nchi ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Ujenzi wa Bwawa la Umeme na upatikanaji Umeme wa Uhakika kwa bei nafuu utasaidia kuendesha Viwanda kwa bei nafuu na uzalishaji mkubwa wa bidhaa na kusambazwa kutoka kituo cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji kwa Treni ya Standard Gauge, mpaka hapo tutaweza kuipandisha thamani pesa yetu ya shillingi.

Ili kuwa na Sarafu imara lazima uwepo uzalishaji mkubwa wa ndani utakaosababisha ukuaji wa haraka wa Sekta ya kuuza bidhaa nje ya Nchi. Si hivyo tu bali inabidi kuzalisha bidhaa nyingi zenye ubora zitakazouzwa kwa thamani zaidi na si kuuza bidhaa ghafi. Kwa hiyo tuna changamoto ya kuzalisha bidhaa za Viwanda zenye ubora utakaohimili ushindani wa soko huria.

-Kwa nini Shilingi yetu inashuka thamani?

-Kushuka kwa thamani ya sarafu yetu ya shilingi,kiuchumi inamaanisha uzalishaji mdogo, hasa ule unaotoa fursa ya kuuza bidhaa nje kwa minajili ya kupata fedha za kigeni.

Kukosekana kwa uzalishaji wa kutosha unaoliingizia taifa fedha za kigeni zinazotosheleza mahitaji ya kiuchumi, husababisha thamani ya shilingi yetu kushuka.

Kitaaluma, ni kwamba sarafu yetu haihitajiki tu kwa ajili ya kuwa nayo, bali watu huihitaji sarafu ya nchi husika kwa sababu wanahitaji kununua bidhaa zinazouzwa na nchi hiyo lakini Sisi Watanzania hatuna bidhaa hizo kwa kuwa hatuna Viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo.

Ingekuwa tofauti kama tungekuwa na Viwanda vingi kama China na kuzalisha bidhaa nyingi na kununuliwa na sisi wenyewe,Nina maana hii kwamba kama nchi haiuzi sana bidhaa zake nje, basi huenda soko la ndani ni kubwa sana kiasi cha kutokuwa na ziada ya kuuza nje na kwa hiyo nchi huagiza bidhaa nyingi za nje ili kukidhi mahitaji ya ndani.Kwa hapa jibu ni hapana,kwa maana hatuna Viwanda na hatuna bidhaa nyingi zinazozalishwa hapa nchini zaidi ya bidhaa za Azam, Asas na Mo.

Uagizaji mkubwa wa bidhaa za nje husababisha nchi kuhitaji zaidi sarafu ya nchi ya kigeni ili kuagiza bidhaa. Hali hii husababisha msukumo mwingi wa sarafu ya nchi kwenye soko la fedha ambayo husababisha kushuka thamani ya sarafu yetu,Kwa sasa Serikali yetu inajenga reli ya Standard Gauge pamoja na kuagiza treni mpya za kiwango hicho cha Standard Gauge,

Kwa sasa Serikali yetu inajenga Bwawa kubwa la Umeme la Stigglers Gauge, na Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima, Uganda hadi Tanga,Tanzania ukiachana na Fly Over, Interchange ya Ubungo, Barabara sita toka Kimara hadi Chalinze, Daraja la Baharini la Surrender,

Utagundua kwa sasa Serikali yetu itaagiza bidhaa nyingi za Ujenzi wa miradi hiyo na tutatumia dolar kuagiza vifaa na bidhaa mbalimbali za Ujenzi, kwa hiyo tulitarajia sarafu yetu kuyumba pengine kwa kukosa uwiano wa kuuza na kununua, lakini kununua kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa.

Kwa matumizi haya ni lazima tutakuwa na hitaji kubwa la dola Sokoni na kuwa na upungufu wa usambazaji wa dola mitaani.

-Mimi tathmini yangu, kwa nini dollar imekosekana:

1.Kutouza Korosho kwa Walanguzi wa nje ya nchi.

2.Biashara ya dhahabu na Tanzanite kusimama kutokana na Wanunuzi wezi kuacha ama kususa kununua.

3.Kukosa baadhi ya misaada ambayo uwa tunapewa kama dollar kwa kutokubali sera za kinyonyaji na kikabaila toka kwa Wazungu.

-Natofautiana kabisa na Zitto Kabwe aliyesema kupigwa risasi Lissu na Sheria Mpya ya vyama vya Siasa vimesababisha kupanda kwa dollar.

Kwa nini Zitto Kabwe ni mwana uchumi na hataji sababu zangu, ni kwa sababu sababu nilizotaja Mimi hitimisho lake lina nia njema kwa Taifa.Zitto Kabwe anajaribu kupandikiza mawazo ya kisiasa ili apate huruma ya Wananchi lakini si sababu za kiuchumi na ukweli utabaki palepale.

1.Tulikataa kuuza korosho nje kwa bei ya kumlalia mkulima halisi na hela kuishia kwa walanguzi pasipo kumsaidia Mkulima halisi.

2.Tumekataa kuuza Dhahabu na Tanzanite kwa kuibiwa na kuwafaidisha makaburu na mabeberu, tulihitaji kuuza dhahabu zitakazo mnufaisha Mwananchi wa Tanzania.

3.Tunao uwezo wa kujitegemea kama hatutoibiwa na wanaotuibia kuja kutupa msaada au mkopo kwa hela waliyotuibia.

Wapo Walionufaika:

i. Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na kadhalika nje ya nchi.
ii. Wanaopokea fedha toka kwa jamaa zao nje (remittances).
iii. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi za bidhaa na huduma kutoka nje (ushuru wa forodha) pamoja na misaada na mikopo kutoka nje.


-Ulinganifu wa Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Mwaka hadi mwaka kumekuwa na ongezeko la uagizaji wa bidhaa za nje huku kukiwa na ongezeko dogo sana la bidhaa tunazouza nchi za nje.

Kadhalika, kila mwaka mpanuko kati ya sekta ya kuuza nje na sekta ya kununua nje huzidi kuwa mkubwa hasa kwa kusababishwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

-Matarajio na hatua za Kuchukua.

Suluhisho ni ujenzi wa Viwanda ambavyo Vitazalisha bidhaa za kuuza nje, pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa ya kutengeneza tuweze kuuza nje ya nchi.

Tuinahitaji kufanya mengi sisi wananchi, mfano watu wanaenda kununua Vitenge Kongo na Parachichi uko Burundi,yaani sisi hatuna tunachozalisha kabisa.

Changamoto kubwa iliyopo ni gharama za uzalishaji bidhaa ikizalishwa hapa gharama zake ni kubwa Sana hivyo kupelekea kuwa na high priced products na mfanyabiashara siku zote anaangalia unafuu wa bei na ndio maana kuliko kuzalisha hapa nchini, basi ni bora waende kununua China, hili litamalizwa na Ukamilikaji wa Bwawa la Umeme la Rufiji ambalo litapunguza bei ya Umeme.

Tunacho takiwa kufanya..

1. Serikali iwe slight fair katika maswala ya kodi kwa wawekezaji wa ndani.

2. Umeme wa uhakika na gharama nafuu..

3. Ukuaji wa technology na wataalam wakee.

Kwa sababu ndio tuko mwanzo wa safari nina imani huko mbeleni tutakuwa vizuri, Roma haikujengwa kwa siku moja.

Sera ya Tanzania ya Viwanda ni sera bora kabisa kwa Uimara wa Sarafu yetu na Uchumi bora wa Nchi yetu. Ni ajenda bora kumaliza utata wa fedha yetu kushuka thamani.Hii imekwenda sambamba na Ujenzi wa Bwawa la Umeme litalotoa Umeme nafuu na wa uhakika, pamoja na ukamilikaji wa Sekta ya Usafiri Standard Gauge, Ununuzi wa Ndege na Upanuzi wa Bandari zetu pamoja na kununuliwa kwa meli kubwa za Watu na mizigo.

Mh Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana akiwaza suluhisho la muda mrefu na kwa hakika nia yake ya kuwekeza katika miradi kama wa Bwawa la Umeme la Rufiji ni utatuzi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu muda mchache ujao.

Kama tungekuwa na Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji toka enzi za Mkapa, tusinge kodi wale Net Solution na kama tungekuwa na Sera nzuri katika Madini yetu kule Buzwagi, GGM,North Mara, Bulyankhulu, Almasi ,Williamson Diamond pale Shinyanga na Tanzanite kule Arusha hivi leo tusikutana na kadhia ya kupanda kwa dollar kwa kuwa tayari tungekuwa na akiba hata ya kuweza kuzitupa dollar baharini au kuziingiza mtaani kama njugu na kuishusha thamani pesa hiyo ya dollar hata Mmarekani angeomba poo.

Bado tuna uwezo wa kupata fedha za kigeni za kutosha kutoka kwenye Madini ambayo ni non-organic,na
Mafuta na Gas ambavyo ni organic:-

1. Dhahabu
2. Almasi
3. Gesi
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite

1.Dhahabu-Geita,Kahama na Morogoro.

2.Almas-Mwadui,Shinyanga.

3.Gesi-Zanzibar,deep sea,na Mtwara.

4.Uranium-Ulanga, Morogoro,Rudewa,baadh ya sehemu Songea,Mkoani Ruvuma.

5.Mafuta-Lindi,Mtwara,bonde la Rufiji na Mkuranga na Sehemu za Ifakara,Mkoani Morogoro, na Deep Sea.

6.Makaa ya Mawe, Ludewa.

7.Tanzanite- Mererani, Arusha.

Sekta ya Utalii iliyonogeshwa na Usafiri wa mojamoja kwa moja kwa Watalii toka Asia, Amerika na Ulaya utatuingizia fedha ya kigeni ya kutosha katika mwaka huu wa 2019 na kurudisha uwiano wa kuuza nje na kununua nje na kuishusha dolar kwa kuwa itapatikana kwa wingi kwenye mzunguko na hivyo kuipandisha thamani sarafu yetu ya Shilingi.

Hadi Mwalimu Nyerere anaachia madaraka thamani ya shilingi dhidi ya dola ilikuwa Tsh150, Mzee Mwinyi akachukua kijiti hadi Tsh 500, Rais Mkapa kachukua kijiti na kufikisha Tsh1200, Rais Kikwete Tsh 2,100.Toka mwaka 2015 hadi sasa 2019 Mh Rais Magufuli kafika 2,400 ,Je Mh Rais Magufuli ataishusha au ataendelea kuipandisha dola?

Nimalizie kwa kusema tangu tupate uhuru hakuna jitihada za Rais aliyefanikiwa kudhibiti thamani ya shilingi dhidi ya dola! na pengine Rais Magufuli akafanikiwa kuidhibiti dola kwa kuweka Uwiano sawia baina ya Sekta ya Kilimo, Sekta ya Viwanda, Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafiri na kupelekea kuinua thamani ya sarafu yetu ya Shilingi kwa kuweka uwiano katika uhitaji na upatikanaji na uimara wa kuuza na kuingiza pesa ya kigeni. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu, John Magufuli,Mungu ibariki Serikali yake.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854.
Bongo taifa la mang'ombe limejaa ng'ombe kama wewe
 
Mtoa mada kaandika vizuri tuu kwa tuliomuelewa.Jamii forums ni jukwaa huru la mtu yeyote kutoa maoni,kushauri na kukosoa pia.Mwandishi katoa maoni yake kuhusu hali ya sasa na huko mbeleni tunakowenda.Si vizuri kumshambulia mtoa mada hata kama hajakufurahisha.
 
HALI YA KIUCHUMI YA TANZANIA NI NZURI NA INATOA MATUMAINI YA BAADAE.

Leo 13:15pm 24/02/2019.

Tanzania inaendelea na mchakato wa kuwa na uwiano mzuri baina ya Sekta ya Kilimo,Sekta ya Viwanda,Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafirishaji wa Anga, bahari na Nchi Kavu.Kilimo kimeanza kuwa na uhusiano na ukuaji wa Viwanda,Viwanda vitahitaji Sana nishati ya Umeme nafuu, na Usafirishaji mzuri na wa haraka,Na sasa Mazao yanayozalishwa yamepata uhakika wa sehemu ya kupelekwa.

Ujenzi wa viwanda utasaidia kila kinachozalishwa kutengenezwa hapa hapa Tanzania na kuuzwa nje na si kupeleka malighafi nje kutengenezwa bidhaa na sisi kwenda kufuata bidhaa hiyo nje ya nchi na kuinunua kwa dola.

Ujenzi wa Viwanda na Uwiano sahihi na sekta ya Kilimo utazalisha bidhaa za kuuza nje,pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa za kutengeneza tuweze kuuza nje.

Changamoto ya gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa hapa Tanzania itamalizwa na Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mto Rufiji (Stigglers Gorge) litalopunguza gharama za Umeme na kutoa Umeme wa Uhakika na kupelekea kushuka kwa gharama za Uzalishaji na kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini,Hii itasaidia Wafanyabiashara kupata unafuu katika Uzalishaji na unafuu huo kupelekea kushuka kwa bei ya bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Ujenzi wa Standard Gauge utaleta tija katika uchumi wa nchi kurahisisha huduma ya Usafirishaji bidhaa toka kituo kimoja cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji.Soko la bidhaa zetu litatangazwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano na kuvutia wanunuzi toka nje ya nchi ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Ujenzi wa Bwawa la Umeme na upatikanaji Umeme wa Uhakika kwa bei nafuu utasaidia kuendesha Viwanda kwa bei nafuu na uzalishaji mkubwa wa bidhaa na kusambazwa kutoka kituo cha Uzalishaji hadi kituo cha Uuzaji kwa Treni ya Standard Gauge, mpaka hapo tutaweza kuipandisha thamani pesa yetu ya shillingi.

Ili kuwa na Sarafu imara lazima uwepo uzalishaji mkubwa wa ndani utakaosababisha ukuaji wa haraka wa Sekta ya kuuza bidhaa nje ya Nchi. Si hivyo tu bali inabidi kuzalisha bidhaa nyingi zenye ubora zitakazouzwa kwa thamani zaidi na si kuuza bidhaa ghafi. Kwa hiyo tuna changamoto ya kuzalisha bidhaa za Viwanda zenye ubora utakaohimili ushindani wa soko huria.

-Kwa nini Shilingi yetu inashuka thamani?

-Kushuka kwa thamani ya sarafu yetu ya shilingi,kiuchumi inamaanisha uzalishaji mdogo, hasa ule unaotoa fursa ya kuuza bidhaa nje kwa minajili ya kupata fedha za kigeni.

Kukosekana kwa uzalishaji wa kutosha unaoliingizia taifa fedha za kigeni zinazotosheleza mahitaji ya kiuchumi, husababisha thamani ya shilingi yetu kushuka.

Kitaaluma, ni kwamba sarafu yetu haihitajiki tu kwa ajili ya kuwa nayo, bali watu huihitaji sarafu ya nchi husika kwa sababu wanahitaji kununua bidhaa zinazouzwa na nchi hiyo lakini Sisi Watanzania hatuna bidhaa hizo kwa kuwa hatuna Viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo.

Ingekuwa tofauti kama tungekuwa na Viwanda vingi kama China na kuzalisha bidhaa nyingi na kununuliwa na sisi wenyewe,Nina maana hii kwamba kama nchi haiuzi sana bidhaa zake nje, basi huenda soko la ndani ni kubwa sana kiasi cha kutokuwa na ziada ya kuuza nje na kwa hiyo nchi huagiza bidhaa nyingi za nje ili kukidhi mahitaji ya ndani.Kwa hapa jibu ni hapana,kwa maana hatuna Viwanda na hatuna bidhaa nyingi zinazozalishwa hapa nchini zaidi ya bidhaa za Azam, Asas na Mo.

Uagizaji mkubwa wa bidhaa za nje husababisha nchi kuhitaji zaidi sarafu ya nchi ya kigeni ili kuagiza bidhaa. Hali hii husababisha msukumo mwingi wa sarafu ya nchi kwenye soko la fedha ambayo husababisha kushuka thamani ya sarafu yetu,Kwa sasa Serikali yetu inajenga reli ya Standard Gauge pamoja na kuagiza treni mpya za kiwango hicho cha Standard Gauge,

Kwa sasa Serikali yetu inajenga Bwawa kubwa la Umeme la Stigglers Gauge, na Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima, Uganda hadi Tanga,Tanzania ukiachana na Fly Over, Interchange ya Ubungo, Barabara sita toka Kimara hadi Chalinze, Daraja la Baharini la Surrender,

Utagundua kwa sasa Serikali yetu itaagiza bidhaa nyingi za Ujenzi wa miradi hiyo na tutatumia dolar kuagiza vifaa na bidhaa mbalimbali za Ujenzi, kwa hiyo tulitarajia sarafu yetu kuyumba pengine kwa kukosa uwiano wa kuuza na kununua, lakini kununua kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa.

Kwa matumizi haya ni lazima tutakuwa na hitaji kubwa la dola Sokoni na kuwa na upungufu wa usambazaji wa dola mitaani.

-Mimi tathmini yangu, kwa nini dollar imekosekana:

1.Kutouza Korosho kwa Walanguzi wa nje ya nchi.

2.Biashara ya dhahabu na Tanzanite kusimama kutokana na Wanunuzi wezi kuacha ama kususa kununua.

3.Kukosa baadhi ya misaada ambayo uwa tunapewa kama dollar kwa kutokubali sera za kinyonyaji na kikabaila toka kwa Wazungu.

-Natofautiana kabisa na Zitto Kabwe aliyesema kupigwa risasi Lissu na Sheria Mpya ya vyama vya Siasa vimesababisha kupanda kwa dollar.

Kwa nini Zitto Kabwe ni mwana uchumi na hataji sababu zangu, ni kwa sababu sababu nilizotaja Mimi hitimisho lake lina nia njema kwa Taifa.Zitto Kabwe anajaribu kupandikiza mawazo ya kisiasa ili apate huruma ya Wananchi lakini si sababu za kiuchumi na ukweli utabaki palepale.

1.Tulikataa kuuza korosho nje kwa bei ya kumlalia mkulima halisi na hela kuishia kwa walanguzi pasipo kumsaidia Mkulima halisi.

2.Tumekataa kuuza Dhahabu na Tanzanite kwa kuibiwa na kuwafaidisha makaburu na mabeberu, tulihitaji kuuza dhahabu zitakazo mnufaisha Mwananchi wa Tanzania.

3.Tunao uwezo wa kujitegemea kama hatutoibiwa na wanaotuibia kuja kutupa msaada au mkopo kwa hela waliyotuibia.

Wapo Walionufaika:

i. Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na kadhalika nje ya nchi.
ii. Wanaopokea fedha toka kwa jamaa zao nje (remittances).
iii. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi za bidhaa na huduma kutoka nje (ushuru wa forodha) pamoja na misaada na mikopo kutoka nje.


-Ulinganifu wa Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Mwaka hadi mwaka kumekuwa na ongezeko la uagizaji wa bidhaa za nje huku kukiwa na ongezeko dogo sana la bidhaa tunazouza nchi za nje.

Kadhalika, kila mwaka mpanuko kati ya sekta ya kuuza nje na sekta ya kununua nje huzidi kuwa mkubwa hasa kwa kusababishwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

-Matarajio na hatua za Kuchukua.

Suluhisho ni ujenzi wa Viwanda ambavyo Vitazalisha bidhaa za kuuza nje, pengine ni wakati sasa wa kila mtu kuwa mbunifu na kutafuta bidhaa ya kutengeneza tuweze kuuza nje ya nchi.

Tuinahitaji kufanya mengi sisi wananchi, mfano watu wanaenda kununua Vitenge Kongo na Parachichi uko Burundi,yaani sisi hatuna tunachozalisha kabisa.

Changamoto kubwa iliyopo ni gharama za uzalishaji bidhaa ikizalishwa hapa gharama zake ni kubwa Sana hivyo kupelekea kuwa na high priced products na mfanyabiashara siku zote anaangalia unafuu wa bei na ndio maana kuliko kuzalisha hapa nchini, basi ni bora waende kununua China, hili litamalizwa na Ukamilikaji wa Bwawa la Umeme la Rufiji ambalo litapunguza bei ya Umeme.

Tunacho takiwa kufanya..

1. Serikali iwe slight fair katika maswala ya kodi kwa wawekezaji wa ndani.

2. Umeme wa uhakika na gharama nafuu..

3. Ukuaji wa technology na wataalam wakee.

Kwa sababu ndio tuko mwanzo wa safari nina imani huko mbeleni tutakuwa vizuri, Roma haikujengwa kwa siku moja.

Sera ya Tanzania ya Viwanda ni sera bora kabisa kwa Uimara wa Sarafu yetu na Uchumi bora wa Nchi yetu. Ni ajenda bora kumaliza utata wa fedha yetu kushuka thamani.Hii imekwenda sambamba na Ujenzi wa Bwawa la Umeme litalotoa Umeme nafuu na wa uhakika, pamoja na ukamilikaji wa Sekta ya Usafiri Standard Gauge, Ununuzi wa Ndege na Upanuzi wa Bandari zetu pamoja na kununuliwa kwa meli kubwa za Watu na mizigo.

Mh Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana akiwaza suluhisho la muda mrefu na kwa hakika nia yake ya kuwekeza katika miradi kama wa Bwawa la Umeme la Rufiji ni utatuzi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu muda mchache ujao.

Kama tungekuwa na Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji toka enzi za Mkapa, tusinge kodi wale Net Solution na kama tungekuwa na Sera nzuri katika Madini yetu kule Buzwagi, GGM,North Mara, Bulyankhulu, Almasi ,Williamson Diamond pale Shinyanga na Tanzanite kule Arusha hivi leo tusikutana na kadhia ya kupanda kwa dollar kwa kuwa tayari tungekuwa na akiba hata ya kuweza kuzitupa dollar baharini au kuziingiza mtaani kama njugu na kuishusha thamani pesa hiyo ya dollar hata Mmarekani angeomba poo.

Bado tuna uwezo wa kupata fedha za kigeni za kutosha kutoka kwenye Madini ambayo ni non-organic,na
Mafuta na Gas ambavyo ni organic:-

1. Dhahabu
2. Almasi
3. Gesi
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite

1.Dhahabu-Geita,Kahama na Morogoro.

2.Almas-Mwadui,Shinyanga.

3.Gesi-Zanzibar,deep sea,na Mtwara.

4.Uranium-Ulanga, Morogoro,Rudewa,baadh ya sehemu Songea,Mkoani Ruvuma.

5.Mafuta-Lindi,Mtwara,bonde la Rufiji na Mkuranga na Sehemu za Ifakara,Mkoani Morogoro, na Deep Sea.

6.Makaa ya Mawe, Ludewa.

7.Tanzanite- Mererani, Arusha.

Sekta ya Utalii iliyonogeshwa na Usafiri wa mojamoja kwa moja kwa Watalii toka Asia, Amerika na Ulaya utatuingizia fedha ya kigeni ya kutosha katika mwaka huu wa 2019 na kurudisha uwiano wa kuuza nje na kununua nje na kuishusha dolar kwa kuwa itapatikana kwa wingi kwenye mzunguko na hivyo kuipandisha thamani sarafu yetu ya Shilingi.

Hadi Mwalimu Nyerere anaachia madaraka thamani ya shilingi dhidi ya dola ilikuwa Tsh150, Mzee Mwinyi akachukua kijiti hadi Tsh 500, Rais Mkapa kachukua kijiti na kufikisha Tsh1200, Rais Kikwete Tsh 2,100.Toka mwaka 2015 hadi sasa 2019 Mh Rais Magufuli kafika 2,400 ,Je Mh Rais Magufuli ataishusha au ataendelea kuipandisha dola?

Nimalizie kwa kusema tangu tupate uhuru hakuna jitihada za Rais aliyefanikiwa kudhibiti thamani ya shilingi dhidi ya dola! na pengine Rais Magufuli akafanikiwa kuidhibiti dola kwa kuweka Uwiano sawia baina ya Sekta ya Kilimo, Sekta ya Viwanda, Sekta ya Nishati na Sekta ya Usafiri na kupelekea kuinua thamani ya sarafu yetu ya Shilingi kwa kuweka uwiano katika uhitaji na upatikanaji na uimara wa kuuza na kuingiza pesa ya kigeni. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu, John Magufuli,Mungu ibariki Serikali yake.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854.

Asante sana Bwana Comical Ally kwa analysis yako ya Alinacha. Essentially ulichotuambia hapa ni kuwa nguruwe wangekuwa na mabawa wangeweza kuruka. Eti Magufuli ana akili sana, ingekuwa ni hivyo angeanzisha miradi inayofeli hata kabla haijaanza?

You made me laugh, yaani kwako wewe ni akili kuzuia biashara iliyokuwa inaingiza forex kwa kuwa ilikuwa inafanywa na "walanguzi" kabla ya kuwa na alternative in place?
Endelea kusubiri nguruwe waote mabawa. In fact possibility hiyo -as far fetched as it is - ni rahisi kutokea kuliko uchumi wa nchi hii kuimarika under this shambling government.
 
Msemakweli Chakubanga,
Nimesoma bandiko lote na hitimisho langu ni kuwa umeainisha vizuri sana mapungufu makubwa ya awamu ya 5 kinyume na kichwa cha habari kuwa hali ya uchumi Tanzania inatoa matumaini mazuri.
 
Ukweli ni kwamba hali ya uchumi ni mbaya sana ,hebu mwambieni hiyo Mzee aondoke tu ainusuru nchi maana hata Zimbabwe tumewapita kwa sasa .
 
Back
Top Bottom