Dah, hii kweli bange toleo jipya.Hii bangi itakuwa toleo jipya!!
uwezo wako wa kuwaza umeishia hapo sio kamanda?Je Krismasi ndio siku maalumu ya kutembelea fukwe??? Pole! Naona ullipanga kwenda kuangalia vyupi vya watu, hasa walilewa pombe, mapenzi. Fukwe zote zifungwe, tahadhari itolewe. Kuna watu lwenye uwezo wa Daraja la Tano, wasijekwenda.
au kiroba cha miwa
mimi ndiye mbunge wenu mtarajiwa.kupitia ccm.