Thomas JM
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 215
- 224
Hali ya huduma Hospitali ya Mkoa Temeke ni mbaya sana
Nimekuja na mgonjwa ni zaidi ya dakika arobaini hakuna huduma yoyote, vyumba vya madaktari viko wazi, Waliopo wanadai kila mmoja sio zamu yake.
Wagonjwa tuliopo hapa hata hatuwaelewi, wengine hawajui wanasaidiwa na nani na wanasaidikaje......
Kuna haja ya mamlaka husika kuingilia kati hili suala... Waache kufanya kazi kimazoea na kutegeana.
Nimekuja na mgonjwa ni zaidi ya dakika arobaini hakuna huduma yoyote, vyumba vya madaktari viko wazi, Waliopo wanadai kila mmoja sio zamu yake.
Wagonjwa tuliopo hapa hata hatuwaelewi, wengine hawajui wanasaidiwa na nani na wanasaidikaje......
Kuna haja ya mamlaka husika kuingilia kati hili suala... Waache kufanya kazi kimazoea na kutegeana.