Hakunaga kama jf!

Sikwepeshi

Senior Member
Jan 26, 2012
162
18
Hellow jf members,nilikuwa nasimuliwa muda mrefu khs jf na umuhimu wake nikaanza kupitia threads mbalimbali kwa kutumia login za my friend kwa kweli hakunaga naamini tutashare mengi zaid na pia nitapata ushauri wa matatizo mbalimbali yanayonikabiri.shukran kwa waanzilishi wa jf na members wote.
 
Ni kweli hakunaga lakini JF imetokeaga, mpaka umekuvutiaga na wewe ukajiungaga basi unakalibishwaga.
 
Hellow jf members,nilikuwa nasimuliwa muda mrefu khs jf na umuhimu wake nikaanza kupitia threads mbalimbali kwa kutumia login za my friend kwa kweli hakunaga naamini tutashare mengi zaid na pia nitapata ushauri wa matatizo mbalimbali yanayonikabiri.shukran kwa waanzilishi wa jf na members wote.

You are welcome!
 
avatar62658_1.gif

Haka ka sura kama Salva jamani!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom