Hakuna kati ya Nyerere, Lumumba, Nkrumah, Malcolm X, n.k aliyeikomboa Afrika

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
607
553
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .
 
Ukweli
20230503_164215.jpg
 
Mobutu Seseseko alibadili majina yote na kulazimisha wakongo waitwe kwa majina ya asili. Je, huyo ndo alikomboa Afrika kwa hoja uliyoijenga? Acha upuuzi.
 
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .
Kwa hiyo,Mobutu Seseseko Zabanga wa Kukungweno,alivyoamrisha Congo Kinshasa iitwe Zaire na wote wenye majina ya kizungu wabadili na kujiita ya asili ndiyo mkombozi halisi wa Afrika?
 
Kama unataka huo ukombozi unaweza ukaanza kwa kujifanyia mwenyewe
Tupa simu yako, achana na intaneti, tupa nguo zako, vaa mavazi ya asili ya Afrika, ondoka kwenye nyumba unayoishi, nenda porini ukaishi kwenye nyumba ya asili ya Afrika, na hamna mtu atakulazimisha
 
Kama unataka huo ukombozi unaweza ukaanza kwa kujifanyia mwenyewe
Tupa simu yako, achana na intaneti, tupa nguo zako, vaa mavazi ya asili ya Afrika, ondoka kwenye nyumba unayoishi, nenda porini ukaishi kwenye nyumba ya asili ya Afrika, na hamna mtu atakulazimisha
Nguo asivae.Atembee kichele huko porini.
 
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .

Ni kweli, juzi niliota wewe unaikomboa, kwa hiyo tunakungoja wewe
 
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .
Unafahamu jina la Waziri Mkuu wa UK au Waziri wa Elimu na Watoto wa Denmark? Unataka tupoteze muda na useless cultural wars? Bado hujajua matatizo/changamoto kuu za Afrika? Halafu hujajua kuwa utamaduni wa mahali huimarika sambamba na uimara wa mfumo wake wa uchumi?

Jiulize, mtoto wa kihindi anayezaliwa na kukulia Tanzania akiwa mkubwa anaishia kuongea Kiswahili kwa lafudhi ipi? Lakini akihamia Uingereza au Marekani anasikikaje kiingereza chake?
 
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .
For me atleast nyerere alikuwa patriot tofauti na Mandela 26 yrs prison alafu it went in vein maana south africa hadi Leo bado wanalia na apartheid policy
 
Nianze kwa kupinga usemi wa kuwa kundi la wasomi wa kiafrika akiwemo Nyerere eti waliwakomboa Waafrika i.e. Watanzania la hasha hata kidogo.

Nasema hivyo kwa kuwa kama wao wenyewe walishindwa kujikomboa KIFIKIRA kwa kukumbatia baadhi ya vitu kama vile dini, majina, mavazi,mitindo mbalimbali i.e.miziki, n.k wamewezaje kusema wametukomboa?

Mimi ningekubaliana nao kuwa WAMETUKOMBOA iwapo tu wangeweza kuturejesha kwenye fikira zetu kwa wao kuanza kuyakataa majina ya kizungu i.e. Julius, Patrick, Keneth, Nelson, n.k. na kurudi kwenye majina yao ya KIAFRIKA na hata MILA/DINI za Kiafrika.

Walichofanya wao ni kutaka madaraka ya KISIASA na KIUCHIMI na kutudanganya kuwa tayari wametukomboa wakati walichofanya ni kuhamisha maisha ya kizungu tu kisiasa, kijamii na kiuchimi tu.

WAAFRIKA tutafuteni UKOMBOZI HALISI ambao ni wa KIFIKRA/AKILI na siyo kisiasa tu hapo bado tunajidanganya.

Tuyakatae majina, dini, mavazi, desturi, mila, nk hapo tutakuwa tumejikomboa .
Hiyo hoja yako ya kubadiri majina aliifanya Mobutu, mbona hujamtukuza hata kwenye hoja yako!

Unatupigia kelele hapa usikute unnaitwa Abdul ama Paul.....!

Ni mtu mwenye shida tu ya kufikiri anaweza akapuuza mchango wa hao Wazee ulowataja.
 
Back
Top Bottom