Nakuunga mkono mkuu.....kufa kupo..qiyyama kipo..hukumu IPO..moto au pepo vyote vipo na tutafufuliwa mbele ya mungu na kuulizwa tuliyokuwa tukifanya duniani.NAAMINI MUNGU YUPO KUFA KUPO KUFUFULIWA KUPO KIYAMA KIPO MOTO UPO NA PEPO IPO huyu mtoa mada anafikir kwa upeo wake tu Mungu anasema hivi nimewaumbeni hivi hivi tu nisiwape mtihan ss sijui hayo anayatoa wapi ni kama yy kawa msemaji wa Mungu mtu mwenye akili timamu hawez kukubaliana na ww ndio mana walikuwepo manabii na mitume kutupa habar za Mungu na ndio tunafuata hayo mafundisho ss ww mwenzetu hayo umeyatoa wapi