Azam na hizo timu tajwa zinatokea mkoa gani?Ulichoandika hapa hakina tofauti na wanachokifanya Azam kujaribu kuipromote Azam FC kuwa na derby dhidi ya Yanga au Simba
Kama zote ni DSM = Mkoa mmoja basi ni Derby na kama ni mikoa tofauti basi haina sifa ya derby.
(Maelezo yangu ni kutokana na kamusi za kiingereza).
kama unatatizo na ubunifu au juhudi za wenzako basi ni tatizo jingine.